CHADEMA LENGO LENU NI REFORMS AU CHANGES?

CHADEMA LENGO LENU NI REFORMS AU CHANGES?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,652
Reaction score
5,132
Reform inajumuisha mabadiliko ya kimfumo ambapo sheria,kanuni,utaratibu,watendaji,itikadi na taasisi muundo na vyeo kwa ujumla.

Moja ya sababu ya reform ni kutokuwepo kwa usawa wa mfumo na utendekaji kazi,reform mara nyingi inahisisha Changes katika itikadi na imani.

Tunaambieni wadau mnahitaji reform au changes?

Tusisahau reform zinaprocess zake mnapoamka nakuhitaji tu,ghafla itakuwa ni uongo lakini tuzingatie hapa reform ni itikadi.

Walamsiki
 
Chama kimeliweka wazi kabisa kwamba No reforms No Election"ni mchakato utakaochukuwa hata miaka miwili mbele,Hivyo ni vema kuhairisha Uchaguzi wa mwaka 2025 ili huwo mchakato ufanyike,vinginevyo ndiyo linakuja suala la No reforms No Election. Chama kina malengo yenye afya kwa Taifa na vizazi vyetu vyote.
 
Reform inajumuisha mabadiliko ya kimfumo ambapo sheria,kanuni,utaratibu,watendaji,itikadi na taasisi muundo na vyeo kwa ujumla.

Moja ya sababu ya reform ni kutokuwepo kwa usawa wa mfumo na utendekaji kazi,reform mara nyingi inahisisha Changes katika itikadi na imani.

Tunaambieni wadau mnahitaji reform au changes?

Tusisahau reform zinaprocess zake mnapoamka nakuhitaji tu,ghafla itakuwa ni uongo lakini tuzingatie hapa reform ni itikadi.

Walamsiki

Kama hujaelewa kila siku wanaeleza kwa njia mbalimbali hutaelewa kbs hata wakikujibu hapa peke yako! We unataka heading au contents?
 
Reform inajumuisha mabadiliko ya kimfumo ambapo sheria,kanuni,utaratibu,watendaji,itikadi na taasisi muundo na vyeo kwa ujumla.

Moja ya sababu ya reform ni kutokuwepo kwa usawa wa mfumo na utendekaji kazi,reform mara nyingi inahisisha Changes katika itikadi na imani.

Tunaambieni wadau mnahitaji reform au changes?

Tusisahau reform zinaprocess zake mnapoamka nakuhitaji tu,ghafla itakuwa ni uongo lakini tuzingatie hapa reform ni itikadi.

Walamsiki
Hebu fafanua changes iwe tofauti na ulivyofafanua reform. Mimi ninaona reform ni rahisi kuliko changes, yaani marekebisho ni rahisi kuliko mabadiliko, hata hivyo kilio hiki si kipya mbele ya wezi wa kura, wizi umewakolea kiasi hawataki katiba mpya wala marekebisho ya tume ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe ambapo mgombea ndiye anaandaa tume na uchaguzi!
 
Mlianza Toka 1993. Hamtakua muwe na muda. Kila siku no time no time! Enough
 
Reform inajumuisha mabadiliko ya kimfumo ambapo sheria,kanuni,utaratibu,watendaji,itikadi na taasisi muundo na vyeo kwa ujumla.

Moja ya sababu ya reform ni kutokuwepo kwa usawa wa mfumo na utendekaji kazi,reform mara nyingi inahisisha Changes katika itikadi na imani.

Tunaambieni wadau mnahitaji reform au changes?

Tusisahau reform zinaprocess zake mnapoamka nakuhitaji tu,ghafla itakuwa ni uongo lakini tuzingatie hapa reform ni itikadi.

Walamsiki
Inahitajika reforms ie.Real changes not business as usual
 
Back
Top Bottom