CHADEMA kwanini hamjifunzi kutoka CCM?

Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
Kwanini usiseme wajifunze jinsi ya kufanya manunuzi kutoka kwa wenzao?
 
Vyovyote vile lkn kuna Uongozi mpya unakuja kila baada ya miaka 5-10, na hii ni muhimu kwa ustawi wa Chama kwani kinakaribisha mawazo mapya na pia kutoa fursa ya kujifunza ktkana na Uingozi uliopita na kujaribu kuboresha, sasa chadema hakuna kubadilisha Uongozi mawazo hayo hayo ya watu hao hao kwa miaka zaidi ya 20, mnategemea mabadiliko hapo?

Kwa mfano kwa maoni yangu Mbowe hakupaswa kuwa KUB tena alishakalia hiyo nafasi angetoa fursa kwa wengine pia ili kupima uwezo waona pia kuwapa imani Wanachama wengine kwamba wana nafasi ya kufika juu!
Maoni yako yapeleke kwenu kwanza kwa asieshauriwa.
 
Mleta uzi kaja na wazo jema sana sema wengi naona wamesoma kama kitini cha hadithi na kuanza kumshambulia, ukweli ni kwamba vyama vyote vya upinzani vingekua vinaruhusu mawazo mbadala wangekua mbali sana, Vijana kama Mtatiro pale CUF wangefaa sana wapewe nafasi mazee kina Lipumba wawe washauri, Chadema huko nako waapo watu wanaowaza kileo lkn hawapati nafasi, wahafidhina wanadumaza siasa yetu kabisa
Mmeshindwa kupitisha mapandikizi yenu. Ndo maana mwaweweseka. Wazo la kuimarisha upinzani litatoka kwa dictator uchwara? Angekuwa anaminya haki ya kikatiba ya kufanya siasa? Halafu mna ujasiri wa kumlaumu boxer aliefungwa mikono kuwa hatupi ngumi za usoni? Eti jifunzeni, wapi?
 
Rudia kusoma taratibu huu uzi na uutafakari kabla hujajibu utapata kitu, weka mahaba pembeni uruhusu ubongo kufanya kazi
Sihitaji kuu soma,matatizo yote tuliokuwa nayo leo ndani ya hii nchi imeletwa na CCM. Uwizi,wivu,uvivu,ufisadi elimu duni, ukizungumzia uongozi na kutafuta uongozi ni vitu tofauti,nyerere hakubadilisha uongozi akigombea uhuru pia,uongozi unabadilishwa ukiwa madarakani nitajie chama cha siasa cha upinzani ambacho hakijawahi kushika madaraka kiwa kinabadilisha uongozi,kenya,uganda,zimbabwe n.k.unaweza kubadilisha pale ambapo umefanikiwa malengo, kwa sababu akija mgeni anaanza upya hivyo kukitoa chama tawala kitakuwa vigumu haswa kwa watu kunuliwa,kiukweli mimi siyo ccm wala chadema wala cuf (soma comment zangu za nyuma)vyama vyote vina mapungufu,lakini kama kuna mama wa mapungufu ni CCM,hii akili ya JPM na LUKUVI ya kudanganya watu tunataka wawekezaji huku wana taifisha mali ya watu hutaona raia wa nje anawekeza Tena,wana mawazo ya ccm ya nyerere na roho mbaya na kimaskini, hata na nchi jirani zao,inawezekanaje una jirani yako ana njaa anahitaji chakula na wewe unacho cha ziada na unazuia asinunue,watanzania hiyo roho imejengwa na ccm,kabla hujafikiria wapinzani wajifundishe kwa ccm inatakiwa wananchi wajifunze ya historia ccm na umaskini na wajue watakuwa maskini milele.
 
Lkn tofauti Mungu mtu wa CCM ana ukomo, lkn chadema hakuna na wala hakuna anayejua lini Mbowe utawala wake utafikia ukomo, sasa hilo siyo jambo jema kwa ustawi wa Chama!
CCM ina weza kufanya hayo kwa mamlaka ya dola. Ni katiba ya nchi inayo leta mabadiliko hayo.
 
Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
sawa nasikia in
marufuku mwana ccm kuchukua fomu kugombea uraisi 2020
 
Najiulizaga Sanaa maswal kwanin ccm mnamuogapa Sana Mbowe.... Baba mbowe shikilia hapohapo siku ukitoka mkalishe Mr lisu waisome namb vzur.
Ina maana mkikshika nchi nyie hamtataka kutoka mtang'ang'ania kama ambavyo mwenyekiti wenu anavyong'ang'ania chama kuwa mwenyekiti. Basi mnatisha zaidi ya ukoma .
 
sawa nasikia in
marufuku mwana ccm kuchukua fomu kugombea uraisi 2020


Inawezekana kama wao kama Chama wamekubaliana hivyo lkn 2025 ni mwisho wa Magufuli na timu yake, sasa lini mwisho wa Mbowe na watu wake chadema? Kwa nini hawatoi nafasi kwa wengine pia kuonyesha wanachoweza?
 
Sihitaji kuu soma,matatizo yote tuliokuwa nayo leo ndani ya hii nchi imeletwa na CCM. Uwizi,wivu,uvivu,ufisadi elimu duni, ukizungumzia uongozi na kutafuta uongozi ni vitu tofauti,nyerere hakubadilisha uongozi akigombea uhuru pia,uongozi unabadilishwa ukiwa madarakani nitajie chama cha siasa cha upinzani ambacho hakijawahi kushika madaraka kiwa kinabadilisha uongozi,kenya,uganda,zimbabwe n.k.unaweza kubadilisha pale ambapo umefanikiwa malengo, kwa sababu akija mgeni anaanza upya hivyo kukitoa chama tawala kitakuwa vigumu haswa kwa watu kunuliwa,kiukweli mimi siyo ccm wala chadema wala cuf (soma comment zangu za nyuma)vyama vyote vina mapungufu,lakini kama kuna mama wa mapungufu ni CCM,hii akili ya JPM na LUKUVI ya kudanganya watu tunataka wawekezaji huku wana taifisha mali ya watu hutaona raia wa nje anawekeza Tena,wana mawazo ya ccm ya nyerere na roho mbaya na kimaskini, hata na nchi jirani zao,inawezekanaje una jirani yako ana njaa anahitaji chakula na wewe unacho cha ziada na unazuia asinunue,watanzania hiyo roho imejengwa na ccm,kabla hujafikiria wapinzani wajifundishe kwa ccm inatakiwa wananchi wajifunze ya historia ccm na umaskini na wajue watakuwa maskini milele.


Lkn hiyo mifano ya nchi ulizotoa hakuna demokrasia ya ukweli bali ni ukabila na udikteta, kwa mfano Kenya Raila Odinga ni zaidi ya Kiongozi wa Chama chake, yeye ni Mfalme wa Wajaluo na Chama chake 100% ni Wajaluo sasa nina uhakika chadema haiko hivyo!

Lkn kwenye nchi za demokrasia zote Kiongozi wa Upinzani akikiongoza Chama chake kwenye Uchaguzi na kushindwa basi hutoa fursa kwa wengine mfano mzuri ni nchini AK, Chama cha DP ni hivyo!

Hata chadema yenyewe kwani yeye Mbowe aliwezaje kuwa Mwenyekiti wa chadema kama wengine hawakumwamini na kuamua kumpa nafasi?

Kwa nini Mzee Mtei, Bomani hawakusema ulivyosema wewe kwamba ni lzm kwanza washike Dola ndiyo wawakabidhi watu wengine kuongoza Chama? Kwa nini Mzee Mtei alikabidhi kama hoja yako ina maana yoyote ile?
 
Lkn tofauti Mungu mtu wa CCM ana ukomo, lkn chadema hakuna na wala hakuna anayejua lini Mbowe utawala wake utafikia ukomo, sasa hilo siyo jambo jema kwa ustawi wa Chama!
...Sema tuu ukweli kwamba wajifunze kununua madiwani na wabunge, kuiba kura hata ikibidi kwa kumtoa mtu roho etc
 
Fikiria chadema nayo ingekuwa na Mwenyekiti mpya kila baada ya Miaka 5-10 hamuoni kwamba ingewasaidia kutatua matatizo yenu kwa kuleta mawazo mapya yawe mabaya au hata kama siyo bora kulinganisha na ya uongozi uliopita lkn hii inasaidia Chama kukua na kukomaa!

Sasa hivi ni zamu ya Magufuli na yeye ana timu yake na wana mawazo yao ya jinsi ya kuongoza CCM na haijalishi kama ni mazuri au la lkn moja linabakia baada ya wao kuondoka 2025 CCM itazidi kukomaa!

Sasa chadema Uongozi ule ule kwa zaidi ya miaka 20 mnawezaje kupata Viongozi wazuri kama hamtoi nafasi kwa wengine kuja na mawazo mapya?

I mean msitafute mchawi, ninyi ndiyo tatizo, mnaendekeza Umungu mtu, ...
Rafiki yangu ucfananishe chadema au vyama vya upinzani na ccm, wao ccm ni chama dola ni lazima kubadilisha mwenyekiti kila baada ya miaka10.kwa sababu uwenyekiti unaendana na urais .Mwalimu nyerere alijaribu kubakia kuwa mwenyekiti baada ya kustaafu urais na cc tuliokuwepo wakati huo tuliona jinsi mivutano ilivyokuwa sema tu mwinyi alikuwa mstaarabu na alivumilia sana Nyerere hata ilifika wakati mzee mwinyi akajifananisha na kichunguu cha mchwa na nyerere ni mlima kilimanjaro, kwa hivyo nyerere kwa hekima zake akaona ili kuondosha fitna akaona Bora raisi pia awemwenyekiti wa chama kwa hivyo hata hivyo vyama vyengine kama vitakamata dola kwakatiba hii tuliyonayo inayoonesha chama kushika hatamu itawabidi wafuate mfumo huo huo labda tuje na katiba mpya ambayo vyama vitanyang'anywa mamlaka hayo.
 
Back
Top Bottom