Leons Mwanda
Member
- Oct 24, 2015
- 5
- 5
Kama chama tegemeo kwa wengi walio nje ya CCM, tunategemea CHADEMA mtaendelea kuwa wamoja katika vikao vyenu vya uchaguzi wa ndani.
Hatupendi kusikia malumbano na maneno yasiyo na tija kwa ustawi wa demokrasia yetu.
Kumbukeni uimara wenu katika siasa za nchi hii,ni muhimu sana kwa ajili ya MASLAHI MAPANA ya nchi yetu.
Kila la heri katika chaguzi zenu.
Hatupendi kusikia malumbano na maneno yasiyo na tija kwa ustawi wa demokrasia yetu.
Kumbukeni uimara wenu katika siasa za nchi hii,ni muhimu sana kwa ajili ya MASLAHI MAPANA ya nchi yetu.
Kila la heri katika chaguzi zenu.