Chadema kuweni na subira

Chadema kuweni na subira

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA siku zote muwe wavumilivu katika siasa ni kawaida kwenye furaha na huzuni. CCM ni wakomavu, Arumeru Mashariki tumelalia pua, tukasema OK. Nyie mkawa na furaha,leo mahakama imemweka kando Lema kwa muda mnaanza kutoa maneno yasiyo na busara.

Kaeni chini mjipange, siasa ndivyo ilivyo; MAHAKAMA ni chombo huru na hakina undugu na CCM. Hakuna sababu za msingi kuwashushia lawama majaji na mahakimu, LEMA amevuna alichopanda. Leo ni manyunyu, mvua ya elnino itawakuta wakati wa uchaguzi mdogo.
 
Kitakachotekea ni Lema hata hudhuria kikao cha Bunge cha keshokutwa. Lakini Kikao cha BUDGET atakuwa ndani ya mjengo mpaka hapo upo!!!!!!!!!!

Kwa Arusha ccm hamna chenu tena !!!!!!!!!!
 
Tumechoka kuvumilia,haki lazima itafutwe kwa hali na mali peoplessssss powerrrrrrrrrrrrr
 
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA siku zote muwe wavumilivu katika siasa ni kawaida kwenye furaha na huzuni. CCM ni wakomavu, Arumeru Mashariki tumelalia pua, tukasema OK. Nyie mkawa na furaha,leo mahakama imemweka kando Lema kwa muda mnaanza kutoa maneno yasiyo na busara.

Kaeni chini mjipange, siasa ndivyo ilivyo; MAHAKAMA ni chombo huru na hakina undugu na CCM. Hakuna sababu za msingi kuwashushia lawama majaji na mahakimu, LEMA amevuna alichopanda. Leo ni manyunyu, mvua ya elnino itawakuta wakati wa uchaguzi mdogo.

Umetumwa?Na kama ni hvyo umeangukia pua.Dawa yako ni m4c only!
 
cku zote haki ya m2 haipotei bali hucheleweshwa LEMA atarejea tena kwa ridhaa ya wananchi democratically!
 
Nilipenda sana slogan ya mwaka huu ya
The Rock kwenye wrestlemania 28.

"Boots to ASSES"
 
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA siku zote muwe wavumilivu katika siasa ni kawaida kwenye furaha na huzuni. CCM ni wakomavu, Arumeru Mashariki tumelalia pua, tukasema OK. Nyie mkawa na furaha,leo mahakama imemweka kando Lema kwa muda mnaanza kutoa maneno yasiyo na busara.

Kaeni chini mjipange, siasa ndivyo ilivyo; MAHAKAMA ni chombo huru na hakina undugu na CCM. Hakuna sababu za msingi kuwashushia lawama majaji na mahakimu, LEMA amevuna alichopanda. Leo ni manyunyu, mvua ya elnino itawakuta wakati wa uchaguzi mdogo.

Hivi Nani anayesema wewe kuwa Jaji na unakuwa! si ni baba RIZ!! haya kuna kesi mahakani inayotakiwa kutolewa hukumu lakini kwa kuwa aliyekwambiua kuwa jaji katika kesi hiyo ana maslahi nayo akikuagiza tengua hukumu utakataa!! sasa usomi wa Jaji aliyetengua ubunge wa Lema unaishia kwenye nyayo za baba RIZ! sasa uhuru wa mahakama unasema labda mahakama ya babako.
 
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA siku zote muwe wavumilivu katika siasa ni kawaida kwenye furaha na huzuni. CCM ni wakomavu, Arumeru Mashariki tumelalia pua, tukasema OK. Nyie mkawa na furaha,leo mahakama imemweka kando Lema kwa muda mnaanza kutoa maneno yasiyo na busara.

Kaeni chini mjipange, siasa ndivyo ilivyo; MAHAKAMA ni chombo huru na hakina undugu na CCM. Hakuna sababu za msingi kuwashushia lawama majaji na mahakimu, LEMA amevuna alichopanda. Leo ni manyunyu, mvua ya elnino itawakuta wakati wa uchaguzi mdogo.

Pengine wewe hata siyo mkazi wa ARUSHA, na inawezekana umetoka usingizini. Kwa akili zake za KIMAGAMBA, unaona jimbo la ARUSHA litarudi ccm????? NGOJA TUONE.......SIYO MUDA MREFU......
 
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA siku zote muwe wavumilivu katika siasa ni kawaida kwenye furaha na huzuni. CCM ni wakomavu, Arumeru Mashariki tumelalia pua, tukasema OK. Nyie mkawa na furaha,leo mahakama imemweka kando Lema kwa muda mnaanza kutoa maneno yasiyo na busara.

Kaeni chini mjipange, siasa ndivyo ilivyo; MAHAKAMA ni chombo huru na hakina undugu na CCM. Hakuna sababu za msingi kuwashushia lawama majaji na mahakimu, LEMA amevuna alichopanda. Leo ni manyunyu, mvua ya elnino itawakuta wakati wa uchaguzi mdogo.

ng'ombe wewe!!!
 
dada mafilili pole na aibu ya arumeru mashariki karibu kwenye msiba wa ccm arusha mjini.
naomba kukuuliza ni kina nani ccm watapiga kampeni za ccm arusha?
ni mgombea gani atasimama?
je serikali imeshatenga hizo hela za kuchezea arusha mjini?
wanaarusha wana subiri pilao na hela ila kanga na fulana waambie wasilete kwani huku tuna gwanda za kutosha.
 
......mahakama ni chombo huru....? Labda unafurahia kwa kuwa ni chombo cha ccm...
But wont last for long..
Kwa akili yako mwenyewe unaona umeandika kitu cha maana...
 
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA siku zote muwe wavumilivu katika siasa ni kawaida kwenye furaha na huzuni. CCM ni wakomavu, Arumeru Mashariki tumelalia pua, tukasema OK. Nyie mkawa na furaha,leo mahakama imemweka kando Lema kwa muda mnaanza kutoa maneno yasiyo na busara.

Kaeni chini mjipange, siasa ndivyo ilivyo; MAHAKAMA ni chombo huru na hakina undugu na CCM. Hakuna sababu za msingi kuwashushia lawama majaji na mahakimu, LEMA amevuna alichopanda. Leo ni manyunyu, mvua ya elnino itawakuta wakati wa uchaguzi mdogo.

sikuelewi hapo unaota nini?
 
Back
Top Bottom