CHADEMA kuweni makini na ada ya mwanachama ya kila mwaka

KAMUGUNGA

JF-Expert Member
Mar 25, 2013
238
269
Kuna mtu anaweza kuhoji kwamba kwanini hili niliweke hapa na sio kulipeleka moja kwa moja ofisini, kwangu naona ni muhimu kuliweka hapa ili Makamanda wote wapate kulijua na kulifanyia kazi wakati chama kikiandaa miongozo kuhusu hili.

Ni wajibu wa kila mwanachama wa chama chochote kiwe cha mpira, siasa, saccoss nk kulipia ada kwa uendeshaji wa Chama husika na kuimalisha ustawi na uenezi wa chama hicho.

Kwa wale Makamanda wa Chadema wenye kadi; Kipengere cha pili(2) cha wajibu wa mwanachama na kinasomeka hivi; "Kuchangia ghalama za uendeshaji chama kwa njia ya ada ya uanachama ya kila mwaka na kwa michango mingineyo inayoamriwa na vikao vya chama".

Hili halipingiki kabisa kwamba kila mwanachadema anawajibu wa kuchangia uendeshaji wa chama. Lakini ni lazima tukumbuke kabisa kwamba upatikanaji wa rasilimali vifaa ndani ya chama imekuwa changamoto hivyo mara nyingi na kwa watu waliowengi walikuwa wanahangaika na kadi ambazo zina kiingilio na ada ya mwaka mmoja tu na hata wasambaza vifaa hawakuwahi huko nyuma kuhimiza wanachama kulipia ada kwa vile hata wangelipia bado STIKA zenyewe zimekuwa shida kupatikana kwenye ofisi nyingi za chama.

Kwanini sasa nimeamua kuandika hili.
1. Chadema mwaka huu itapata wagombea wake wa Udiwani na Ubunge kupitia mchakato wa kura za maoni. Na maneno yaliyoenda kwa wapiga kura za maoni ni kwamba ili waweze kupiga kura lazima wawe wamelipia ada zao mpaka 2015. Zoezi hili limekuwa gumu kwa watanzania hawa wapenda chadema ambao ni viongozi hasa huko vijijini.

2. Zoezi lageuka kuwa rushwa na kete kwa wagombea. Tumekuwa tukishuhudia CCM ikipata wagombea wabovu lakini ni kwasababu mfumo wao wa kura za maoni unaruhusu tajiri aingie kwa wapiga kura na kadi mpya 5000+ ambazo akizigawa kwa wananchi basi anakuwa tayari ana mtaji wa kutosha. Sasa hata kwetu Chadema yameanza kutokea, baada ya wajanja kujua kuwa ulipaji ada ni lazima ili kiongozi apige kura; wajanja wameenda kwenye ofisi mbalimbali za Chama hasa kanda wakabeba stika za ada sasa wanatembea nazo kwenye maeneo ama wanayogombea wao ama wapenzi wao na kuzigawa stika hizo kwa masharti kwamba lazima watu wao wapewe kura maana kisingizio ni kwamba wagombea hao ndo wamezinunua na ndo kuonyesha kuwajali viongozi hao wapiga kura za maoni.

3. Kukosekana kwa muongozo kutoka kwenye ofisi za Chama. Nimejaribu kuliuliza hili kwa viongozi wa Kanda lakini majibu niliyopata siwezi kwa utu uzima wangu kuyaandika hapa.

4. Dalili za kurudia mfumo wa CCM kupata wagombea ubunge na Udiwani. Kama kila mtu lazima alipie ada na kwakuwa stika za ada zimekuwa adimu kwenye ofisi za chama na kwa kuwa kuna watu walipata kadi zao 2009/2010 nk ambao kwa mahesabu ya kawaida wanadaiwa mpaka shs6000; sioni viongozi wetu huko vijijini wakilipia ada hizi bali kutakuwepo na mwanya mkubwa sana kwa wagombea kulipia ada hizi kwa masharti ya kupewa kura na mwisho wa siku mwenye kisu kikali hata kama hafai ndiye atayepita.

5. Viongozi wa majimbo wanatumia hili kama rungu la kuwachapa watu wasiopenda wagombea waliowabeba migongoni mwao. Kuna mahali kiongozi wa jimbo alitoa kauli za vitisho kwamba yeye ndo mwenye stika za ada na anatoa kwa watu wanaompenda na watakaompigia kura mtu wake. Hii ni hatari.

Naamini Chama Changu Chadema ni makini sana na kupitia hili na jukwaa hili watachukua hatua haraka.

Ni mimi mpenda Chadema kufa na kupona.
 
Kuna mtu anaweza kuhoji kwamba kwanini hili niliweke hapa na sio kulipeleka moja kwa moja ofisini, kwangu naona ni muhimu kuliweka hapa ili Makamanda wote wapate kulijua na kulifanyia kazi wakati chama kikiandaa miongozo kuhusu hili.

Ni wajibu wa kila mwanachama wa chama chochote kiwe cha mpira, siasa, saccoss nk kulipia ada kwa uendeshaji wa Chama husika na kuimalisha ustawi na uenezi wa chama hicho.

Kwa wale Makamanda wa Chadema wenye kadi; Kipengere cha pili(2) cha wajibu wa mwanachama na kinasomeka hivi; "Kuchangia ghalama za uendeshaji chama kwa njia ya ada ya uanachama ya kila mwaka na kwa michango mingineyo inayoamriwa na vikao vya chama".

Hili halipingiki kabisa kwamba kila mwanachadema anawajibu wa kuchangia uendeshaji wa chama. Lakini ni lazima tukumbuke kabisa kwamba upatikanaji wa rasilimali vifaa ndani ya chama imekuwa changamoto hivyo mara nyingi na kwa watu waliowengi walikuwa wanahangaika na kadi ambazo zina kiingilio na ada ya mwaka mmoja tu na hata wasambaza vifaa hawakuwahi huko nyuma kuhimiza wanachama kulipia ada kwa vile hata wangelipia bado STIKA zenyewe zimekuwa shida kupatikana kwenye ofisi nyingi za chama.

Kwanini sasa nimeamua kuandika hili.
1. Chadema mwaka huu itapata wagombea wake wa Udiwani na Ubunge kupitia mchakato wa kura za maoni. Na maneno yaliyoenda kwa wapiga kura za maoni ni kwamba ili waweze kupiga kura lazima wawe wamelipia ada zao mpaka 2015. Zoezi hili limekuwa gumu kwa watanzania hawa wapenda chadema ambao ni viongozi hasa huko vijijini.

2. Zoezi lageuka kuwa rushwa na kete kwa wagombea. Tumekuwa tukishuhudia CCM ikipata wagombea wabovu lakini ni kwasababu mfumo wao wa kura za maoni unaruhusu tajiri aingie kwa wapiga kura na kadi mpya 5000+ ambazo akizigawa kwa wananchi basi anakuwa tayari ana mtaji wa kutosha. Sasa hata kwetu Chadema yameanza kutokea, baada ya wajanja kujua kuwa ulipaji ada ni lazima ili kiongozi apige kura; wajanja wameenda kwenye ofisi mbalimbali za Chama hasa kanda wakabeba stika za ada sasa wanatembea nazo kwenye maeneo ama wanayogombea wao ama wapenzi wao na kuzigawa stika hizo kwa masharti kwamba lazima watu wao wapewe kura maana kisingizio ni kwamba wagombea hao ndo wamezinunua na ndo kuonyesha kuwajali viongozi hao wapiga kura za maoni.

3. Kukosekana kwa muongozo kutoka kwenye ofisi za Chama. Nimejaribu kuliuliza hili kwa viongozi wa Kanda lakini majibu niliyopata siwezi kwa utu uzima wangu kuyaandika hapa.

4. Dalili za kurudia mfumo wa CCM kupata wagombea ubunge na Udiwani. Kama kila mtu lazima alipie ada na kwakuwa stika za ada zimekuwa adimu kwenye ofisi za chama na kwa kuwa kuna watu walipata kadi zao 2009/2010 nk ambao kwa mahesabu ya kawaida wanadaiwa mpaka shs6000; sioni viongozi wetu huko vijijini wakilipia ada hizi bali kutakuwepo na mwanya mkubwa sana kwa wagombea kulipia ada hizi kwa masharti ya kupewa kura na mwisho wa siku mwenye kisu kikali hata kama hafai ndiye atayepita.

5. Viongozi wa majimbo wanatumia hili kama rungu la kuwachapa watu wasiopenda wagombea waliowabeba migongoni mwao. Kuna mahali kiongozi wa jimbo alitoa kauli za vitisho kwamba yeye ndo mwenye stika za ada na anatoa kwa watu wanaompenda na watakaompigia kura mtu wake. Hii ni hatari.

Naamini Chama Changu Chadema ni makini sana na kupitia hili na jukwaa hili watachukua hatua haraka.

Ni mimi mpenda Chadema kufa na kupona.
kalipe ada
 
umeandika kwa uchungu sana ! hakika wewe ni mzalendo wa kweli , Kama tulivyopambana na rushwa kwenye jimbo letu la KYELA tutaendelea kupambana nayo kwenye majimbo yote , cdm rushwa ni mwiko .
 
Kuna mtu anaweza kuhoji kwamba kwanini hili niliweke hapa na sio kulipeleka moja kwa moja ofisini, kwangu naona ni muhimu kuliweka hapa ili Makamanda wote wapate kulijua na kulifanyia kazi wakati chama kikiandaa miongozo kuhusu hili.

Ni wajibu wa kila mwanachama wa chama chochote kiwe cha mpira, siasa, saccoss nk kulipia ada kwa uendeshaji wa Chama husika na kuimalisha ustawi na uenezi wa chama hicho.

Kwa wale Makamanda wa Chadema wenye kadi; Kipengere cha pili(2) cha wajibu wa mwanachama na kinasomeka hivi; "Kuchangia ghalama za uendeshaji chama kwa njia ya ada ya uanachama ya kila mwaka na kwa michango mingineyo inayoamriwa na vikao vya chama".

Hili halipingiki kabisa kwamba kila mwanachadema anawajibu wa kuchangia uendeshaji wa chama. Lakini ni lazima tukumbuke kabisa kwamba upatikanaji wa rasilimali vifaa ndani ya chama imekuwa changamoto hivyo mara nyingi na kwa watu waliowengi walikuwa wanahangaika na kadi ambazo zina kiingilio na ada ya mwaka mmoja tu na hata wasambaza vifaa hawakuwahi huko nyuma kuhimiza wanachama kulipia ada kwa vile hata wangelipia bado STIKA zenyewe zimekuwa shida kupatikana kwenye ofisi nyingi za chama.

Kwanini sasa nimeamua kuandika hili.
1. Chadema mwaka huu itapata wagombea wake wa Udiwani na Ubunge kupitia mchakato wa kura za maoni. Na maneno yaliyoenda kwa wapiga kura za maoni ni kwamba ili waweze kupiga kura lazima wawe wamelipia ada zao mpaka 2015. Zoezi hili limekuwa gumu kwa watanzania hawa wapenda chadema ambao ni viongozi hasa huko vijijini.

2. Zoezi lageuka kuwa rushwa na kete kwa wagombea. Tumekuwa tukishuhudia CCM ikipata wagombea wabovu lakini ni kwasababu mfumo wao wa kura za maoni unaruhusu tajiri aingie kwa wapiga kura na kadi mpya 5000+ ambazo akizigawa kwa wananchi basi anakuwa tayari ana mtaji wa kutosha. Sasa hata kwetu Chadema yameanza kutokea, baada ya wajanja kujua kuwa ulipaji ada ni lazima ili kiongozi apige kura; wajanja wameenda kwenye ofisi mbalimbali za Chama hasa kanda wakabeba stika za ada sasa wanatembea nazo kwenye maeneo ama wanayogombea wao ama wapenzi wao na kuzigawa stika hizo kwa masharti kwamba lazima watu wao wapewe kura maana kisingizio ni kwamba wagombea hao ndo wamezinunua na ndo kuonyesha kuwajali viongozi hao wapiga kura za maoni.

3. Kukosekana kwa muongozo kutoka kwenye ofisi za Chama. Nimejaribu kuliuliza hili kwa viongozi wa Kanda lakini majibu niliyopata siwezi kwa utu uzima wangu kuyaandika hapa.

4. Dalili za kurudia mfumo wa CCM kupata wagombea ubunge na Udiwani. Kama kila mtu lazima alipie ada na kwakuwa stika za ada zimekuwa adimu kwenye ofisi za chama na kwa kuwa kuna watu walipata kadi zao 2009/2010 nk ambao kwa mahesabu ya kawaida wanadaiwa mpaka shs6000; sioni viongozi wetu huko vijijini wakilipia ada hizi bali kutakuwepo na mwanya mkubwa sana kwa wagombea kulipia ada hizi kwa masharti ya kupewa kura na mwisho wa siku mwenye kisu kikali hata kama hafai ndiye atayepita.

5. Viongozi wa majimbo wanatumia hili kama rungu la kuwachapa watu wasiopenda wagombea waliowabeba migongoni mwao. Kuna mahali kiongozi wa jimbo alitoa kauli za vitisho kwamba yeye ndo mwenye stika za ada na anatoa kwa watu wanaompenda na watakaompigia kura mtu wake. Hii ni hatari.

Naamini Chama Changu Chadema ni makini sana na kupitia hili na jukwaa hili watachukua hatua haraka.

Ni mimi mpenda Chadema kufa na kupona.
Chadema ni saccoss ya Mtei na Mbowe hivyo hizo ada mkae mkijua ni mali yao na hakuna wa kuhoji...Hivi mna mjua mmiliki wa ile ofisi ya pale ufipa?
 
Upo sahihi sana kiongozi. Hayo unayoyasema yameshaanza kukitafuna chama jimbo la Namtumbo. Yupo mgombea mmoja anawanunulia wajumbe wa mkutano utakaopitisha wagombea wilayani hizo stika ili badae wale waliolipiwa stika tu (ambao kimsing wamenunuliwa Na mgombea huyu) ndio waruhusiwe kupiga kura za maoni.

Kwahiyo ni kwel Kama chama hakitauangalia Mfumo huu kwa makini. Upo uwezekano wa mfumo huu kutumiwa vibaya na Wagombea wahuni kununua wapiga kura za maoni na kupata ushindi kwa njia za kiccm.

Aidha, ni vyema chadema waangalie namna bora au vigezo vyao vya kumpata mgombea bora. Kura za maoni ziwe ni sehem tu ya vigezo vya kumpata mgombea anayefaa. Vinginevyo ipo hatari ya kupata mgombea mbovu kwa kigezo tu cha kushinda kura za maoni tena baada ya kununua wajumbe.
 
Je kamanda mnaliendeshaje jimbo bila kuwa na vikao? Sharti la kikatiba kiongozi yeyote atahudhulia vikao vya chama akiwa na kadi lake ambalo limelipiwa!Ninawasiwasi na hilo jimbo unalolizungumzia kuwa ni mzigo kwa chama chetu!hii ni aibu ya mwaka!
 
Nadhani kuna tatizo na wahusika walifanyie kazi kabla ya madhara.
 
Hivi unajua kuwa fuata upepo wengi hum wanatumia vijisim vya tecno? una wakera


acha kuwa kashfu wenzio , kuwa na simu kali haina maana wew uko vizur mfukoni, kichwani, chini n.k, situmii tecno but kwa hili umeprove failure kama great thinker, obama anatumia blackbery ya kawaida kwa amri ya wanausalama ili asiweze kutafutwa na kupatikana kirahiai na majambazi,

kuna watu wana simu kubwa amekopa airtel, voda , tigo ndo apate kifurushi, kodi ya nyumba hana, nyumba wala godoro la kulalia hana ni YAHYAA, kikubwa mtu aandike hapa tumuelewe anatumia mtn, chamelion, itel haituhusu ni chaguo/ uchumi wake. nataman ungekuwa live nikupe vidonge vyako
 
acha kuwa kashfu wenzio , kuwa na simu kali haina maana wew uko vizur mfukoni, kichwani, chini n.k, situmii tecno but kwa hili umeprove failure kama great thinker, obama anatumia blackbery ya kawaida kwa amri ya wanausalama ili asiweze kutafutwa na kupatikana kirahiai na majambazi, kuna watu wana simu kubwa amekopa airtel, voda , tigo ndo apate kifurushi, kodi ya nyumba hana, nyumba wala godoro la kulalia hana ni YAHYAA, kikubwa mtu aandike hapa tumuelewe anatumia mtn, chamelion, itel haituhusu ni chaguo/ uchumi wake. nataman ungekuwa live nikupe vidonge vyako
Unge pimia kwanza nilie mQUOTE kisha uka buruzikwa na mate, sina maana kuwa nawadharau wanaotumia cm ndogo, ila umependa kuropoka ningekuwa live bas nipo live 255789450208 Timiza adhma yako
 
Unge pimia kwanza nilie mQUOTE kisha uka buruzikwa na mate, sina maana kuwa nawadharau wanaotumia cm ndogo, ila umependa kuropoka ningekuwa live bas nipo live 255789450208 Timiza adhma yako



hahaaaa u made my day nmecheka sana aisee, unapenda timbwili umerusha namba kabisa looooh, ngoja nkupandie hewani nna ddk kama 200 hv za airtel
 
hahaaaa u made my day nmecheka sana aisee, unapenda timbwili umerusha namba kabisa looooh, ngoja nkupandie hewani nna ddk kama 200 hv za airtel
Nimeona unakiu kubwa na unataka umpe za chemba MOTOCHINI nikasema powa utimize adhayako bwana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom