Du Bois ideas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 427
- 82
Yes, Mkutano Kesho upo Tabora!!! Watu jitokezeni kuwaunga mkono wapiganaji wetu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saigon,
Mie ni mkweli haswaa na ubabaishaji nauchukia na kuuogopa kama ukoma.
Siasa ni mchezo mchafu ambao uongo ni SEHEMU ya mchezo huo.
Hayo mie siyawezi maana hakuna chama kitanipenda kwa hilo........
Labda kuna siku NITAKUWA na kufikia UMRI wa kuwa Mwanasiasa ila siyo leo.
Wanasema Wanasiasa ni kama Malaya. Unachagua yule hawajakanyaga saana. (Akina dada msiniuwe, sikutaka kutukana Jinsia).
kwanini bado unaipenda ccm?Tatizo humu ndani kuna watu ambao wapo kwa ajiri ya kubisha bisha tu, Anachoongea mtoa mada ni kweli na mimi leo nimeingia Tabora na magari ya matangazo yanatangaza hivyo mitaani, nipo kwa ajiri ya kuangalia hali ya chama changu CCM na kuangalia nini kifanyike ili tuzidi kujiimarisha....ni safari binasfi si official msije mkani-miss understand.
Kwa hiyo kuhusu mkutano ni ukweli utakuwepo