Chadema kwa Mwanri mtajisumbua bure hata muende na helikopta 100,Mwanri kaibadilisha Siha sana na Wananchi wanamkubali kwa kiwango cha juu sana! Ameweka maji kila kijiji na sasa anaweka umeme wa REA kila kijiji,Siha yote ina pitika sasa barabara zimejengwa,shule za kata zina vyoo vya ku-flash! Nendeni chadema siha mtajionea maendeleo makubwa sana ambapo mimi namchukulia Mwanri kama Mbunge bora kwa kuleta maendeleo Siha,BBC wamechukua documentary kuonesha namna rural areas in Africa wanaweza kuendelea! Miundo mbinu ya umwagiliaji ni mingi sana na imekamilika kwa wakati! JICA wameipongeza siha kwa kupiga hatua!
Ukiacha Hospital ya Kibong'oto wilaya ya Siha sasa wana hospital ya Wilaya ambayo ina maabara bora ambapo east africa hakuna yeye vifaa bora zaidi ya siha! Siha sasa wanauza nyanya Nairobi kwa wingi,kipato cha wananchi kipo juu. Chadema wakienda waongee sera ya jumla tu ya UFISADI kitaifa lakini kwa maendeleo Siha Chadema hawana kitu cha kusema
Sasa kama Mwanri anajiamini, kwanini anapenda sana kulia tena machozi kama mtoto mdogo jukwaani akiwasihi wananchi wasikubali chadema? Tena huku akiwaimbisha wimbo wa dini.."Bwanaa asifiwe, amen haleluya....alafu ghafla ccm oyeeee"... Then anapiga magoti analia machozi..."Msiniletee chadema jamaniiii".....
Yaani ilikua kituko cha mwaka.. Mwandri MSANII sana!
Ngoja kijana Dr. Godwin Kamanda wa Chadema Siha amkomeshe!