MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
hahaaa Ndanda Kosovo ....hivi huyo si Zakhia Meghji huo..mbona kachoka sana
Lazima wachoke, wengi wanalia nyuma ya migongo yao.
hahaaa Ndanda Kosovo ....hivi huyo si Zakhia Meghji huo..mbona kachoka sana
CHADEMA acheni kutunyang'anya hata kidogo tulichonacho. Kila siku mnatunisha mishipa majukwaani kuwa maisha magumu alafu mnakuja arumeru kutuchangisha fedha za Kampeni jamani. Ruzuku mnayopewa mnatumia kufanya nini kama kila siku mnachangisha fedha za kampeni tangia uchaguzi mkuu ? au zile milioni kumi na mbili za kila mwezi za mheshimwa Katibu mkuu ndo hizo?
Tupeni namba ya M-PESA ya CDM nitupie kamchango kangu fasta
Tupeni namba ya M-PESA ya CDM nitupie kamchango kangu fasta