CHADEMA kutumia nguvu ya Umma Arumeru-Mnyika

CHADEMA kutumia nguvu ya Umma Arumeru-Mnyika

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Kuhusu bajeti ya uchanguzi mdogo wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki, Mnyika alisema chama kimeamua kuwa kampeni za uchaguzi huo ziendeshwe kwa nguvu ya umma bila kutegemea ruzuku za chama.

Alisema chama kimejipanga kupata misaada kutoka kwa wananchi wa Arumeru na wananchi wengine nchini katika kuhakikisha hakitumii ruzuku ya chama kwenye uchaguzi huo.

"Kampeni za Arumeru zitaendeshwa kwa nguvu ya umma ikiwa ni pamoja na kupata fedha za wananchi kote nchini na si kutegemea ruzuku za chama bali za wananchi kwa ujumla na hasa Arumeru,"alisema Mnyika.

Alisema chama kimeteua watu kadhaa wa kuangalia jinsi gani ya kupata fedha hizo za nguvu ya umma na kile kiasi ambacho kitahitajika kuongezeka chama kitatangaza kiasi gani kitatumika.

SOURCE:MWANANCHI.
 
If thats the case, I wanna place a bet.
 
Wapange utaratibu wa kufanya collections nguvu ya umma tupo tayari
 
Tupo pamoja, Tupieni njia za kutuma hela hapa, tuanze kutupia salio.
 
Tuko tayari kuchangia make haya ndo mabadiriko ya kweli, ndo vita ya kimya yenye utashi wa kimungu katika kumkomboa mtanzania wa kawaida. Mungu ibariki vita hii ya kimyakimya mpaka kieleweke. Amen!!!
 
Kuhusu bajeti ya uchanguzi mdogo wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki, Mnyika alisema chama kimeamua kuwa kampeni za uchaguzi huo ziendeshwe kwa nguvu ya umma bila kutegemea ruzuku za chama.

Alisema chama kimejipanga kupata misaada kutoka kwa wananchi wa Arumeru na wananchi wengine nchini katika kuhakikisha hakitumii ruzuku ya chama kwenye uchaguzi huo.

"Kampeni za Arumeru zitaendeshwa kwa nguvu ya umma ikiwa ni pamoja na kupata fedha za wananchi kote nchini na si kutegemea ruzuku za chama bali za wananchi kwa ujumla na hasa Arumeru,"alisema Mnyika.

Alisema chama kimeteua watu kadhaa wa kuangalia jinsi gani ya kupata fedha hizo za nguvu ya umma na kile kiasi ambacho kitahitajika kuongezeka chama kitatangaza kiasi gani kitatumika.

SOURCE:MWANANCHI.
CHADEMA acheni kutunyang'anya hata kidogo tulichonacho. Kila siku mnatunisha mishipa majukwaani kuwa maisha magumu alafu mnakuja arumeru kutuchangisha fedha za Kampeni jamani. Ruzuku mnayopewa mnatumia kufanya nini kama kila siku mnachangisha fedha za kampeni tangia uchaguzi mkuu ? au zile milioni kumi na mbili za kila mwezi za mheshimwa Katibu mkuu ndo hizo?
 
Kuhusu bajeti ya uchanguzi mdogo wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki, Mnyika alisema chama kimeamua kuwa kampeni za uchaguzi huo ziendeshwe kwa nguvu ya umma bila kutegemea ruzuku za chama.

Alisema chama kimejipanga kupata misaada kutoka kwa wananchi wa Arumeru na wananchi wengine nchini katika kuhakikisha hakitumii ruzuku ya chama kwenye uchaguzi huo.

"Kampeni za Arumeru zitaendeshwa kwa nguvu ya umma ikiwa ni pamoja na kupata fedha za wananchi kote nchini na si kutegemea ruzuku za chama bali za wananchi kwa ujumla na hasa Arumeru,"alisema Mnyika.

Alisema chama kimeteua watu kadhaa wa kuangalia jinsi gani ya kupata fedha hizo za nguvu ya umma na kile kiasi ambacho kitahitajika kuongezeka chama kitatangaza kiasi gani kitatumika.

SOURCE:MWANANCHI.

CHADEMA kama Freemasons
 
Nimekumbuka hata Nyerere alipokuwa anapigania Tanganyika ipate uhuru alizunguka kuomba hisani ya Nguvu ya Umma ili apate michango na ridhaa ya kweli kutoka kwa watanganyika. Sasa hata CHADEMA nao kwa mtazamo wangu ipo siku itachukua nchi.
 
The thing is, watu wanakipenda chama, na kwa namna yoyote kitachangiwa ili kisonge!
Ruzuku ya chama ifanye kazi ya kuimarisha chama vijijini, hili suala la Arumeru liko kwenye uwezo wa Wanachama.
Mbona Nguvu ya Umma inafanya kazi sana kwa mfano huko Iringa, Msigwa anapigisha harambee kila mara na hadi watu wasio na kipato cha kuridhisha wanatoa michango, ikiwa ni ishara ya kuguswa na kazi ianyotenbdwa na viongozi wa chadema.
Wekeni namba za MITANDAO na account za benki.
 
CHADEMA acheni kutunyang'anya hata kidogo tulichonacho. Kila siku mnatunisha mishipa majukwaani kuwa maisha magumu alafu mnakuja arumeru kutuchangisha fedha za Kampeni jamani. Ruzuku mnayopewa mnatumia kufanya nini kama kila siku mnachangisha fedha za kampeni tangia uchaguzi mkuu ? au zile milioni kumi na mbili za kila mwezi za mheshimwa Katibu mkuu ndo hizo?
[h=2][/h]
Nenda zako sisi tunachanga kama huna nyamaza​
 
Waweke no,za simu hapa tuwatumie,tulikomboe Taifa letu kwa ujumla kutoka kwa wanyang'anyi CCM.
 
CHADEMA kama Freemasons
00.jpg

unamuaona Ndanda Kosovo hapo?
ameweka mkwe wake awe mbunge Arumeru mashariki!!
 
Back
Top Bottom