well, inaonekana wamevaa/wamevalishwa Jezi na pia kwa nyuma hizo langi za kijani zinanilazimisha kuamini kwamba hayo maeneo ni ofisi za ccm, lakini ujumbe wa kutowapa kura ndio unaonichanganya zaidi, kura zipi? kuna mchakato utakaoishia na kupiga kura unaendelea hivi sasa? hata wao watampigia nani?