KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Mkuu hiyo ya Dr. Slaa si sahihi hata kama Rais alichaguliwa kwa kura laki 2 huwezi kumtoa kwa sahihi za watu milioni 8. Hilo ni tatizo la kikatiba. Lakini pia ni vigumu kwa Rais kujivunja na kuitisha uchaguzi mpya katika hali kama hii ya kisiasa ambayo inaonekana CCM inapigwa pembeni kati kulia na kushoto. Labda Rais na chama chake wawe hawajitaki!
Dr, Slaa amesema kama mchakato wa kumg'ona Waziri Mkuu uatachakachuliwa bungeni CDM itawaongoza watanzania kupiga kura kwa kusaini sahihi milioni 8 za kumuondoa Rais madarakani. Ameyasema hayo Jijini Mwz katika mkutano wa hadhara maeneo ya Sahara. Amesena Rais alichaguliwa kwa kura milioni 5 tu hivyo milioni 8 zinatosha kumuondoa madarakani
Safi sana Dr Slaa, it is a good move japo sijui kama ina legitimacy kisheria.
Mtani nimesema it is a good move kwa sababu hii itatoa fursa kwa wananchi ku-express yaliyo ndani ya mioyo yao kuhusu rais wao. Kwa hiyo hiki kitakuwa kipimo kama wananchi bado wana imani na rais wao.kwa hiyo unapongeza kitu ambacho huna uhakika nacho sio?
mimi siku zote nimekua na mashaka sana na kiwango cha ufahamu cha huyu mzee,mbona maadui zake ndani ya chama wanampoteza kirahisi namna hii bila yeye kushtuka,hii sijui kaitoa wapi,wachagga wakikuzunguka hata ofisini unakua hatarini sana,namuone a huruma huyu mmbulu wa watu
Mkuu kweli Slaa, kanishangaza na hii kauli yake Slaa kila siku anasema kaibiwa kura leo tena anakubali kuwa JK alipata kura milioni 5 na yeye alipata kura milioni 2 lakini asemi Slaa alivyokuwa na uchu wa madaraka yupo radhi kuvunja katiba mambo yake yafanikiwe lakini bahati mbaya wa Tanzania wanamuelewa.
Hiyo nakubali kabisa vurugu ikizidi Rais avunje Bunge waje upyaTunatakiwa kulilia rais avunje bunge wote warudi kwa wananchi
Carcass at work. Usiwe kama kenge ambaye kusikia kwake huja baada ya kupigwa sana maskioni hadi kutokwa na damu.Mkuu kweli Slaa, kanishangaza na hii kauli yake Slaa kila siku anasema kaibiwa kura leo tena anakubali kuwa JK alipata kura milioni 5 na yeye alipata kura milioni 2 lakini asemi Slaa alivyokuwa na uchu wa madaraka yupo radhi kuvunja katiba mambo yake yafanikiwe lakini bahati mbaya wa Tanzania wanamuelewa.
Dr, Slaa amesema kama mchakato wa kumg'ona Waziri Mkuu uatachakachuliwa bungeni CDM itawaongoza watanzania kupiga kura kwa kusaini sahihi milioni 8 za kumuondoa Rais madarakani. Ameyasema hayo Jijini Mwz katika mkutano wa hadhara maeneo ya Sahara. Amesena Rais alichaguliwa kwa kura milioni 5 tu hivyo milioni 8 zinatosha kumuondoa madarakani
kama hii ya kumng'oa rais inawezekana mi nadhani ndo njia rahisi kuliko kumng'oa waziri mkuu