Chadema kuongoza mchakato wa kura ya kutokuwa na imani na Rais

Mkuu hiyo ya Dr. Slaa si sahihi hata kama Rais alichaguliwa kwa kura laki 2 huwezi kumtoa kwa sahihi za watu milioni 8. Hilo ni tatizo la kikatiba. Lakini pia ni vigumu kwa Rais kujivunja na kuitisha uchaguzi mpya katika hali kama hii ya kisiasa ambayo inaonekana CCM inapigwa pembeni kati kulia na kushoto. Labda Rais na chama chake wawe hawajitaki!

mimi siku zote nimekua na mashaka sana na kiwango cha ufahamu cha huyu mzee,mbona maadui zake ndani ya chama wanampoteza kirahisi namna hii bila yeye kushtuka,hii sijui kaitoa wapi,wachagga wakikuzunguka hata ofisini unakua hatarini sana,namuone a huruma huyu mmbulu wa watu
 
Dr, Slaa amesema kama mchakato wa kumg'ona Waziri Mkuu uatachakachuliwa bungeni CDM itawaongoza watanzania kupiga kura kwa kusaini sahihi milioni 8 za kumuondoa Rais madarakani. Ameyasema hayo Jijini Mwz katika mkutano wa hadhara maeneo ya Sahara. Amesena Rais alichaguliwa kwa kura milioni 5 tu hivyo milioni 8 zinatosha kumuondoa madarakani

Milioni 5 zenyewe alipewa na NEC, kura zake halisi hazikufika milioni 2.
 
Sehemu ndogo sana ya katiba ambayo haijulikani ni kuwa iwapo wabunge wote wakijiuzulu (au sehemu yao kubwa ikijiuzulu kiasi kuwa bunge linakuwa haliwezi kufanya kazi tena) basi rais anakuwa hana chake tena; inabidi uchaguzi mkuu urudiwe. Ila siyo kwa wingi wa sahihi; Tanzania hatuna sheria ya kum-recall mtu aliyechaguliwa kama ambavyo wenzetu Marekani wanavyofanya, sasa hivi Gavana wa Wisconsin yuko karibu sana na kitanzi kutokana na sahihi za wapiga kura. Iwapo wanachi wanaweza kuwa-pressurize wabunge wao wajiuzulu nafasi zao na wanafanikiwa, basi rais pampja na serikali yake watakuwa nao wamafukuzwa kazi; ila nadhani hilo siyo jambo rahisi kwenye utamaduni wa mtanzania
 
kwa hiyo unapongeza kitu ambacho huna uhakika nacho sio?
Mtani nimesema it is a good move kwa sababu hii itatoa fursa kwa wananchi ku-express yaliyo ndani ya mioyo yao kuhusu rais wao. Kwa hiyo hiki kitakuwa kipimo kama wananchi bado wana imani na rais wao.
 
mimi siku zote nimekua na mashaka sana na kiwango cha ufahamu cha huyu mzee,mbona maadui zake ndani ya chama wanampoteza kirahisi namna hii bila yeye kushtuka,hii sijui kaitoa wapi,wachagga wakikuzunguka hata ofisini unakua hatarini sana,namuone a huruma huyu mmbulu wa watu

Mkuu kweli Slaa, kanishangaza na hii kauli yake Slaa kila siku anasema kaibiwa kura leo tena anakubali kuwa JK alipata kura milioni 5 na yeye alipata kura milioni 2 lakini asemi Slaa alivyokuwa na uchu wa madaraka yupo radhi kuvunja katiba mambo yake yafanikiwe lakini bahati mbaya wa Tanzania wanamuelewa.
 
Mkuu kweli Slaa, kanishangaza na hii kauli yake Slaa kila siku anasema kaibiwa kura leo tena anakubali kuwa JK alipata kura milioni 5 na yeye alipata kura milioni 2 lakini asemi Slaa alivyokuwa na uchu wa madaraka yupo radhi kuvunja katiba mambo yake yafanikiwe lakini bahati mbaya wa Tanzania wanamuelewa.

ujinga ni kidonda ndugu
 
Mkuu kweli Slaa, kanishangaza na hii kauli yake Slaa kila siku anasema kaibiwa kura leo tena anakubali kuwa JK alipata kura milioni 5 na yeye alipata kura milioni 2 lakini asemi Slaa alivyokuwa na uchu wa madaraka yupo radhi kuvunja katiba mambo yake yafanikiwe lakini bahati mbaya wa Tanzania wanamuelewa.
Carcass at work. Usiwe kama kenge ambaye kusikia kwake huja baada ya kupigwa sana maskioni hadi kutokwa na damu.
 
Dr, Slaa amesema kama mchakato wa kumg'ona Waziri Mkuu uatachakachuliwa bungeni CDM itawaongoza watanzania kupiga kura kwa kusaini sahihi milioni 8 za kumuondoa Rais madarakani. Ameyasema hayo Jijini Mwz katika mkutano wa hadhara maeneo ya Sahara. Amesena Rais alichaguliwa kwa kura milioni 5 tu hivyo milioni 8 zinatosha kumuondoa madarakani

Acha kupotosha uma sidhani kama doctor silaa haijui katiba mpaka aseme hayo therd yako haina sors tutayaamini vipi?pia tujifunze kuheshimu chama pamoja na viongozi we2 tuspende kuzua mambo tutafanya wengine kuamini na kuwadharau makamanda wetu.
 
Back
Top Bottom