Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,692
- 218,210
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kesho Jumatatu 09/01/2023 Kitaongea na Waandishi wa Habari kwenye Makao Makuu ya Chama hicho , yaliyo nje ya Jiji la Dar es Salaam , huko Kinondoni .
Kaeni Tayari kusikia Dira Mpya ya Taifa ambayo Nchi itakwenda nayo kuanzia sasa hadi 2025 .
Wote Mnakaribishwa .