Hawajawahi kujipanga kugombea Urais ndio maana waliwatafuta Mamuluki/wapiganaji wa kuazima ili kuwasaidia, mamuluki wamerudi kwao.Wakuu chadema Mgombea uraisi na mgombea mwenza wao 2015 wote wameondoka chadema .Alianza Juma Duni Haji mgombea Mwenza sasa mgombea uraisi kamalizia . Wataalamu wa political science mtusaidie hili ni nini? Mwenyewe chadema wanasema hakuna kitu kuondoka kwao si kitu
Yehodaya. Pamoja na kuifanyia Cdm umafia wa kutumia rasilimali za serikali.Wakuu chadema Mgombea uraisi na mgombea mwenza wao 2015 wote wameondoka chadema .Alianza Juma Duni Haji mgombea Mwenza sasa mgombea uraisi kamalizia . Wataalamu wa political science mtusaidie hili ni nini? Mwenyewe chadema wanasema hakuna kitu kuondoka kwao si kitu
Hayo mengi hebu taja japo matatu aliyofanyiwa hadi kaamua kurudi CCM?Yehodaya. Pamoja na kuifanyia Cdm umafia wa kutumia rasilimali za serikali.
Na vyombo vya Dola na vya maamuzi bado hamridhiki ?!
Lowassa kapata mwaliko, na kafanya ziara Ikulu mwenyewe , bila kushirikisha chama na wananchi walioumizwa kwa ajili yake. Kosa la Cdm ni nini hapo ?!.
Vyama hivi visivyo na dola huwezi kumshurutisha mtu kubaki.
Na hata huko CCM hajaenda kwa utashi wake. Bali kuna mengi yamepita chini ya Capet ili kudhoofisha upinzani na kulinda maslahi yake. Kama ulimsikia bosi aliuliza "kwanini umeteseka huko muda wote huo ?!"
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu chadema Mgombea uraisi na mgombea mwenza wao 2015 wote wameondoka chadema .Alianza Juma Duni Haji mgombea Mwenza sasa mgombea uraisi kamalizia . Wataalamu wa political science mtusaidie hili ni nini? wenyewe chadema wanasema hakuna kitu kuondoka kwao si kitu
Hawana na hawatakuwa nayeKwa hiyo sasa wanao wagombea wao?
Kwanza kabisa cha kufahamu ni kuwa ule ulikuwa ni mkakati wa ukawa wa kupambana na CCM, ENL hajawahi kuwa mpinzani na Duni hajawahi kuwa Chadema. Kuondoka kwa ENL kunaipa Chadema na upinzani fursa ya kujipanga vema zaidi. Zinagtia: 1 Yohana 2:19.Wakuu chadema Mgombea uraisi na mgombea mwenza wao 2015 wote wameondoka chadema .Alianza Juma Duni Haji mgombea Mwenza sasa mgombea uraisi kamalizia . Wataalamu wa political science mtusaidie hili ni nini? wenyewe chadema wanasema hakuna kitu kuondoka kwao si kitu
Mahaba huficha madhaifu,, hili ni jambo la msingi sana ambalo Ukawa wanatakiw wajiulize lakini hawatofanya hivyo... na utatukanwa sana kuleta huu uziWakuu chadema Mgombea uraisi na mgombea mwenza wao 2015 wote wameondoka chadema .Alianza Juma Duni Haji mgombea Mwenza sasa mgombea uraisi kamalizia . Wataalamu wa political science mtusaidie hili ni nini? wenyewe chadema wanasema hakuna kitu kuondoka kwao si kitu
Tundu Lissu TOSHA!Wakuu chadema Mgombea uraisi na mgombea mwenza wao 2015 wote wameondoka chadema .Alianza Juma Duni Haji mgombea Mwenza sasa mgombea uraisi kamalizia . Wataalamu wa political science mtusaidie hili ni nini? wenyewe chadema wanasema hakuna kitu kuondoka kwao si kitu