Chadema kuna nini hapa?

Chadema kuna nini hapa?

BAPUPEGHE

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
220
Reaction score
38
Naomba ufafanuzi. Ivi sera ya Elimu na kilimo ya cdm inasemaje? Maana kila siku nasikia ufisadi tu.
 
Naomba ufafanuzi. Ivi sera ya Elimu na kilimo ya cdm inasemaje? Maana kila siku nasikia ufisadi tu.

Sera ya Elimu ya CDM inasema kwamba, katika msamiati wa lugha ya Kiswahili hatuna neno IVI, bali HIVI. Ufisadi katika elimu, umesababisha kuwepo kwa wahitimu wapuuzi wasioweza hata kuongea lugha ya Taifa kwa ufasaha.

Kuhusu kilimo CDM inaamini kuwa, kubadili badili majina ya kampeni za kwenye makaratasi ambazo hazitekelezeki hakuleti tija kwa kilimo. Kilimo Kwanza, Kilimo UTI wa Mgongo sijui mbavu, hakuleti mabadiliko shambani. Mabadiliko shambani yataletwa kwa elimu stahiki kwa wakulima, pembejeo kwa wakati na tija ya soko kwa mkulima badala ya kumnyang'anya mazao yake mara anapovuna.
 
Unataka uambiwe Sera za CHADEMA ili mzicopy na kuzipaste kwenu eeh! Na nyie m'buni za kwenu. Ukilaza haufai kama vipi achieni nchi
 
Back
Top Bottom