CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

Hizo siku nane za kukaa mortuary,nani alimwambia aende si angesubiri kwanza hukumu,naona leo kafurahi baada ya kuona ''mafuriko''teh teh
 

magufuli hataki kuchezea hela za serikali za uma sasa lowasa anatumia hela ya nani na wewe mbowe unatakiwa ulipe kodi za ulizouza chama
 

"Tulikaa kikao wabunge wa chadema tukakubaliana kila mmoja atachanga laki tatu itakuwa 33,000,000 kwa ajili ya familia ya mawazovna zitawekwa kwenye account maalumu km tutakavyoshauriana na familia"By Mbowe,mwisho wa kunukuu.

Hicho unachosema amelazimisha umekitoa wapi wee kenge kasoro mkia?
 

KAZI YA NYUMBU WADOGO NI KUFATA NYUMBU MKUBWA ANACHOTAKA,,,,By Nyumbu38@yahoo.com
 
Nafuu huyo aliyetangaza kuchanga fedha za kumsomesha mtoto wa marehemu kuliko yule aliyetangaza kumtibu Ray C kwa kuelemewa na madawa ya kulevya yaani TEJA huku waliomsababishia uTEJA huo wakiachwa wakiendelea na biashara hiyo.

JF wafanye mpango wa kurudisha kile kitufe cha like,

Asante sana mkuu
 
Politiki nikuulize.
Wabunge ambao watachangia ni wa chadema pekee au itahusisha ukawa? ?
Kama ni suala la ukawa basi Dr Mvungi alikuwa nccr linamuhusu.
Mwangosi alikuwa mtumishi wa channel 10 lakini alikua .wanachama wa chadema!
Chacha wangwe familia wametelekezwa.! Habari ndio hiyo. Na tunajua kwa nini wametelekezwa.
Suala la kushinda tarime lilikuwa ni juhudi binafsi ya mbunge na sio sababu ya chadema. Mbona Musoma mjini tumepigwa chini? ? Ni sawasawa na ushindi wa Magufuli ni kwa sababu yeye binafsi alishajenga uaminifu kwa wananchi kwa utendaji kazi wake. Lakini sio sababu ya ccm. Ndio maana Lowasa alipigwa chini sababu hana rekodi ya uaminifu na maadili katika utendaji wake serikalini.wananchi hawamuamini kabisa!
Politiki elewa hivyo. Una hoja? ?
 
Mpumbavu nyumbu wewe, kudai fidia eti sababu kumweka Lowassa Mwanza ni gharama kubwa ni upuuzi uliopitiliza. Nyumbu weee

Mapovu yote ya nini? Unadaiwa kodi na Baba mwenye nyumba?
 
Wanachofanya Chadema ni kuidhalilisha familia ya Mawazo kila kitu wanachowafanyia wanawatangazia wananchi.
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?
Mjinga daima hupenda kusifiwa lazima aseme kwa watu ili aonekane.
 
magufuli hataki kuchezea hela za serikali za uma sasa lowasa anatumia hela ya nani na wewe mbowe unatakiwa ulipe kodi za ulizouza chama

Acha ujinga wako pia unaonekana unaelementi za ........ Kishg.....kaaaaa pili angekuwa kaka yako je ungeropoka ujinga huuuu au ni ujuha usiyo na kipimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…