mamlaka pekee yenye uwezo wa kumsafisha mtu ni mahakama c vinginevyo
Na hata hiyo mahakama haikurupuki tu na kumsafisha sharti shauri lipelekwe mbele yake. Sikumbuki ni lini EL alifikishwa kwa pilato.
mamlaka pekee yenye uwezo wa kumsafisha mtu ni mahakama c vinginevyo
Laiti na Mungu huyu anayeumba, kusamehe na kuhukumu angekuwa kama hivi ufikiriavyo, sijui ni nani angepona!
Na hata hiyo mahakama haikurupuki tu na kumsafisha sharti shauri lipelekwe mbele yake. Sikumbuki ni lini EL alifikishwa kwa pilato.
Chadema itashirikiana na mtu yeyote aliyetayari kuiangusha ccm hata kama ni shetani chadema tutampa sapoti ilimradi tuteketeze maccm.
Ukawa wakishinda chini ya Lowassa, siyo CHADEMA tena hiyo. Watanzania tutegemee kuendelea kuibiwa.
Ukawa angalien kuweka mgombea makin ili tushinde lowasa anafaa manake mkimueka lipumpa chadema watamaind mkimueka slaa ukawa utavunjika mueken Lowasa ashatabiriwa na TB joshua atakua rais
Ambaye hatarudisha Kadi Lowassa akihamia CDM ni ama Mchagga au Mmasai.
.Du! ahsante JFKuna habari zimeanza kuzagaa kuwa CHADEMA wanapaswa kumsafisha Lowassa kupitia chama chao ili aweze kugombea urais kwa tiketi ya UKAWA kupitia CHADEMA.
My take: CHADEMA tegemeeni chama kuondoka mikononi mwenu mana Lowassa anakuja na timu yake na hela yake hapo ni njia ya kutimiza malengo yake yeye na mtandao wake. So tegemeeni CHADEMA kutumika kama condom kama Shibuda alivyo kitumia
haiwezekani kuna watu wamekijenga chama muda mrefu mpaka mabomu wamepigwa Leo kuelekea uchaguzi eti watu wanahamia hayo mambo mtatuboa wapenzi Wa CHADEMA.
Du! ahsante JFKuna habari zimeanza kuzagaa kuwa CHADEMA wanapaswa kumsafisha Lowassa kupitia chama chao ili aweze kugombea urais kwa tiketi ya UKAWA kupitia CHADEMA.
My take: CHADEMA tegemeeni chama kuondoka mikononi mwenu mana Lowassa anakuja na timu yake na hela yake hapo ni njia ya kutimiza malengo yake yeye na mtandao wake. So tegemeeni CHADEMA kutumika kama condom kama Shibuda alivyo kitumia
haiwezekani kuna watu wamekijenga chama muda mrefu mpaka mabomu wamepigwa Leo kuelekea uchaguzi eti watu wanahamia hayo mambo mtatuboa wapenzi Wa CHADEMA.
Uliona mbali thathaCCM wanawasikilizia tu wamasubiri aende Chadema waanze kufyatua Makombora.