Chadema itashirikiana na mtu yeyote aliyetayari kuiangusha ccm hata kama ni shetani chadema tutampa sapoti ilimradi tuteketeze maccm.
Tuliwaambia kuwa CHADEMA ni WAHAINI mkakataa. Kwa kauli hii inathibitisha kuwa mna ushirikiano na KAGAME.
Chadema itashirikiana na mtu yeyote aliyetayari kuiangusha ccm hata kama ni shetani chadema tutampa sapoti ilimradi tuteketeze maccm.
Kama kumtumia shetani kumuondoa shetani kunafaida basi lowasa atumike ili mradi shetani sisiemu aondoke.Kuna habari zimeanza kuzagaa kuwa CHADEMA wanapaswa kumsafisha Lowassa kupitia chama chao ili aweze kugombea urais kwa tiketi ya UKAWA kupitia CHADEMA.
My take: CHADEMA tegemeeni chama kuondoka mikononi mwenu mana Lowassa anakuja na timu yake na hela yake hapo ni njia ya kutimiza malengo yake yeye na mtandao wake. So tegemeeni CHADEMA kutumika kama condom kama Shibuda alivyo kitumia
haiwezekani kuna watu wamekijenga chama muda mrefu mpaka mabomu wamepigwa Leo kuelekea uchaguzi eti watu wanahamia hayo mambo mtatuboa wapenzi Wa CHADEMA.
Chadema itashirikiana na mtu yeyote aliyetayari kuiangusha ccm hata kama ni shetani chadema tutampa sapoti ilimradi tuteketeze maccm.
Hayo ni maneno ya mtaani vijiweni kwa waliokosa kazi wala yasikupe shida, just relax!!
kuna watoto wamekipigania chama hapa Leo unambiwa kaa pembeni agombee mwingne kisa kuelekea u chaguzi mkuu ili tushinde sasa kumbe makelele tunayopga tunajidanganya tuuu hata makinda akija tutaimba pipoooooz wakati ccm wana tuua kina lowasa walikuwepo na wengne walitoa hela kutugawa wapinzani Leo ndio icon ya ushindi kwel pesa inanunua vhochote.
karibuni kina Chenge na mafisad wengne Wa Ccm huku chadema
Duniani hakuna kosa lisilosameheka, Lowassa ni binadamu kama binadamu wengine ikiwa kweli alipotoka au alipotoshwa basi hana budi kusamehewa.
wewe humjui mmasaiZaidi ni ngumu Lowasa kuhama CCM kwani upo uwezekano amewekewa ulinzi mkali ktk nyanja zote kutokana na kufahamu siri nyingi za chama chake.
Akijaribu kuhama tu..........
wewe humjui mmasai
wewe humjui mmasai
You are absolutely correct sir,waache wajaribu alafu CDM ibaki historia.Kuna habari zimeanza kuzagaa kuwa CHADEMA wanapaswa kumsafisha Lowassa kupitia chama chao ili aweze kugombea urais kwa tiketi ya UKAWA kupitia CHADEMA.
My take: CHADEMA tegemeeni chama kuondoka mikononi mwenu mana Lowassa anakuja na timu yake na hela yake hapo ni njia ya kutimiza malengo yake yeye na mtandao wake. So tegemeeni CHADEMA kutumika kama condom kama Shibuda alivyo kitumia
haiwezekani kuna watu wamekijenga chama muda mrefu mpaka mabomu wamepigwa Leo kuelekea uchaguzi eti watu wanahamia hayo mambo mtatuboa wapenzi Wa CHADEMA.
CCM wanawasikilizia tu wamasubiri aende Chadema waanze kufyatua Makombora.
duuu...hii kali..