CHADEMA kumjadili Kikwete


Ni mbunge yupi huyo wa chadema Kinondoni?Hoja haijengeki bila kupotosha?
 
kumbuka na kupora wake za watu na kuvunja ndoa za wenzio
CCM bana, viungo vyao wanavyotumia kwa kufikiri ni matumbo, kwato, matumbo na viuno! ndiyo maana ni lazima wachomekee kihivi! Nendeni kukomboa meno ya tembo yaliyokamatwa mkimtumia Katibu wenu Mkuu 'mpya' Kinana.
Kwa hakika kurejea 'wazee wa dili' kutaikomesha nchi; Benki wakae tayari kwa EPA nyingine na Tembo na Twiga wetu wataishia Hong Kong.
DEATH TO CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…