Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
- Toka Jumapili nipo katika ziara ya kikazi ya Wazazi/CCM Taifa katika Wilaya zote za Mkoa wa Morogoro, tulianza na Gairo, Ifakara, Mahenge na leo ilikuwa zamu ya Kilosa na nipo hapa sasa hivi na kesho nitakuwa Mvomero na Mzumbe University. Kilichonishitua hapa Kilosa ni kuona kwamba hakuna CHADEMA presence kabisa, yaani hata Madiwani wote ni wa CCM, I mean ni vigumu sana kwetu CCM kutawala bila kukumbushwa mapungufu yetu na Chadema sasa wanapokuwa hawapo kabisa mara nyingi inapelekea Viongozi wetu wa CCM kujisahau.
- Halafu inakuja hoja yangu ya msingi, Vipi CHADEMA kumpeleka Slaa DC Washington badala ya kumleta huku Kilosa aje ajaribu kufungua matawi? I mean Tawi la Kilosa si linaweza kuwa muhimu kwa Chadema kuliko tawi la wanachama wanne la DC Washington/USA? Chadema ni muhimu sana mkaangalia priorities zenu kwa sababu hii no moja ya changamoto kubwa inayowatesa sana ya kukimbilia kuanzisha matawi ambayo ni fruitless huko nja na kwa gharama kubwa kuliko kuhangaikia hapa Bongo kwa gharama ndogo na yenye matokeo ya kura kwa chama chenu.
- I mean kesho Mvomero, it was great kufika Mhenge tena jana the place that was once my second home kwa sababu ndipo niliposoma Sekondari, I went there jana na kuwaahidi Shule kwa ujumla kwamba nitawakusanya watu wote maarufu waliowahi kusoma pale kusudi tuwasaidie na changamoto zao, pia niliongea sana na DC na Mkurugenzi wa Wilaya kuhusu kuwapatia gari la Shule, wameniahidi watalifanyia kazi so Mahenge angalau kidogo CHADEMA wapo, jamani ni muhimu sana Chadema mnapokuwepo maana mnasaidia sana kutuamsha CCM tunapolala kidogo!!
![]()
- Hapa ni bwenini Nyerere Dom na hiki ni kitanda cha deka nilicholalia Miaka 30 iliyopita nilipokuwa nasoma hapa Kwiro Sekondari, it was great to be here again ninamshukuru sana Mungu kwa kunipa nafasi ya kurudi tena hapa nikiwa mzima.
Le Mutuz
Mimi nafikiri ungeenda kumsaidia mzee Malechela kipindi kile ameangushwa na kibajaji badala ya kujidai wewe ni msemaji wa cdm!!!!!!!!!! PIa nakukumbusha hata mama yako mdogo Anie Kilangoo alichakachua ubunge kule same sasa unauliza cdm haina madiwani kilosa ili iweje na wewe unajua kila unachokifanya na nyinyiemu yenu. Huko Mvomero kwenyewe mlichakachua udiwani maeneo 3 na ubunge pia mlipoka. Ni majimbo mangapi ninyi mlikubali washinde wapinzani????Kila aliposhinda mpinzani kuna watu walijeruiwa vibaya sana na pia mliwafungulia kesi karibu wabunge wote wa cdm walioshinda????sijui ulisomea wapi hata kakumbukumbu kadogo tu hauna, anagalia hata katiba mpya mnavyochakachua. Tena huko mvomero baba yako Malechela anamiliki ardhi kubwa kiujanja ujanja ambayo leo ingesaidia wakulima na wafugaji na matokeo yake watu wanauana kwasababu ya kukosa sehemu za malisho.
WAKAZI WA MVOMERO: AKIJA HUKO HUYU GAMBA MUULIZENI MAENEO ANAYOMILIKI BABA YAKE ALIYAPATAJE NA KWANINI WANANCHI WANAUANA KWA KUKOSA MAENEO YA MALISHO YA MIFUGO??? KAMA HUYU NDIYE MTOTO WA BABU BASI HAPA KALA ASALA.