CHADEMA kuiteka Pwani

CHADEMA kuiteka Pwani

vipi mikutano ya ukawa imeishia wapi?

We tumbili Cdm usiifananishe na chochote hiki ni very very special party

Likija sualala UKAWA tunagonga kama kawa na la Chadema ndo haswaa hapo ndo nyumbani. yaani leo umeshasahau propaganda za yule TUMBO au Mwana diwani aliyesema Chadema imefutika mpaka kwenye makabrasha imebaki UKAWA wewe unaropoka ropoka tu hebu tuambie Mbona maccm yamewatenga A.C.T nanyi hampigi kelele Kima wewe

BACK TANGANYIKA
 
naona chopa ndani ya kimanzichana, nipo hapa.. utulivu upo wa kutosha., viongoz wa chadema wametua kwny chopa wanatembea kwa miguu kufika eneo la mkutano,. polisi wamefika hapa mapema, kwa kweli inapendeza..
 
Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.
kama jina lako lilivyo mbona ccm hawawaelezi zao? inakuja siku na ipo pale ambapo siyo polis wala kuchakachua hakuta wasaidia, ole wenu ma-ccm.
 
kama jina lako lilivyo mbona ccm hawawaelezi zao? inakuja siku na ipo pale ambapo siyo polis wala kuchakachua hakuta wasaidia, ole wenu ma-ccm.

Kwahiyo kama CCM hawawaelezi hata nyie hamana haja ya kufanya hivyo? come on!
 
dhambi ya ubaguzi inaitafuna chadema, sasa hivi baada ya kupata msaada wa milioni 700 wameanza kuwatenga washirika wao wa ukawa cuf na nccr
Hivi bajeti ya ziara ndefu ya kinana,Nape na wahuni wenzake mliipata wapi? ,Esrow 200 bil,backhome!
Ccm chama cha ajabu sukari ilipopanda bei,mkajitokeza eti atakayeuza zaidi ya tsh 1500 kukiona,jamaa wakapeleka hadi 2200!
Chadema wamepata msaada,wamezitangaza na sasa wanaanza ziara,je ziara za kinana zilifadhiliwa na ESROW ?, tuambie mwanasiasa wa hugo
 
CHADEMA inaanza operesheni ya chopa kwa siku 2 katika maeneo mbalimbali ya majimbo yote ya Mkoa wa Pwani leo.

Operesheni hiyo itakayohusisha mikutano ya ndani na hadhara italenga ujenzi na kukagua uhai wa chama.

Itaongozwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chama, JJ Mnyika.
Mbona CDM ilishakufa, labda wakafanye Postmortem. R.I.P CDM Tulikupenda, ila Mungu amekupenda zaidi, Mwanga wa milele umuangazie eeh Bwana........ Apumzike kwa Amani.
 
Kwahiyo kama CCM hawawaelezi hata nyie hamana haja ya kufanya hivyo? come on!
Njoo kwenye kikao upate taarifa,kama unazitaka ilu ukawafundishe na ccm jutoa maelekezo kama chadema wafanyavyo kuiga si jambo baya,maana tangu uhuru mmeendelea kuiga toka ulaya,kwa nini sasa msiige ya chadema ambao wako karibu haihitaji nauli
 
Mbona CDM ilishakufa, labda wakafanye Postmortem. R.I.P CDM Tulikupenda, ila Mungu amekupenda zaidi, Mwanga wa milele umuangazie eeh Bwana........ Apumzike kwa Amani.
Udini tupu,2015, kitaeleweka, mama castico 2000 alipowapinga,mkamfukuza,Mr Bashe mlimsema sio raia,Mkuu wa mkoa wa zamani Generali Ulimwengu mlisema sio Raia ,ccm mlipobanwa na Salm Ahmed Salmu mkasema ni Mwarabu,mtu mliyempa hadi ukatibu wa OAU na kufanya kazi kwenye baraza la usalama wa UN lakini mlisema si raia!,
ccm sera za elimu,kilimo,viwanda,maji kukwama shingoni mmebaki chadema chama cha udini,ukabila,udini mara sasa unasema wanywa viroba!
Leteni sera acha siasa za chumbani !
Tabia hii na mawazo haya sijui huwa mnawaambia nini mabalozi waliouzunguka ikulu,
 
CHOPA Mkoa wa Pwani ,you can't be serious.Kwenda Mkuranga is a matter of minutes, kwenda kibaha is just a matter of minutes ,kwenda Ikwiriri ia a matter of an hour or so.Sasa CHOPAS mngeitumia wakati wa campaign Chalize.

mwaka huu mtahara sana nyie wapumbavu...
 
Mwendo mdundo...leo na kesho tutaeleza jinsi CCM inavyozidi kudhihirisha ilivyo irrelevant tena kupitia ziara zao wanazofanya hivi sasa ambapo itakuwa sawa na kuwakaanga kwa mafuta yao wenyewe.

Tutaonesha namna wanavyozidi kuwa irrelevant wakiendelea kufanana na Sangara wanavyokula samaki wadogo ziwani, kupitia bajeti za serikali yao mwaka huu.

Mambo mengi yatawekwa wazi namna CCM wanavyopinga mchakato wa Katiba Mpya kwa ajili ya kulinda ufisadi na mafisadi.

Mabaya ya ccm sidhani kama kuna Mtanzania hayajui , wakati mnaendelea kupigilia msumari kwenye hayo ingekuwa ni vyema sasa mkiwa mnahubiri hayo mabaya muwe mnaweka na sera za namna ya kuleta maendeleo kijamii , kiuchumi na kisiasa. Kuelezea mabaya pekee yake hakutoshi kuwafungua akili hawa Watanzania.
 
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA huwezi kuwatenganisha na ubaguzi.

Kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Chalinze, hatukuona Helikopta kwa sababu mgombea hakuwa 'mwenzao'.

Kwa sasa kwa vile watakao fanya mikutano ni 'wenzao', ndiyo maana tunasikia wanasema watatumia helikopta.

Ubaguzi umewafanya mpaka wasione hata aibu kwenye uwiano wa matumizi ya resources ndani ya chama.
 
Jamaa kiboko kweli huyu,naona kuna watu wana vibanda vya kudumu humu ndani imagine nimejoin hii forumn back in 2012 lakini sijaposts au kucomment kama huyu jamaa who is only 5months old!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Join Date : 6th January 2014
Posts : 1,153
Rep Power : 659
Likes Received480
Likes Given0

Cha ajabu hana LIKE hata 1 ya kupewa, yaan hata Nape hajampa.
 
chadema inaanza operesheni ya chopa kwa siku 2 katika maeneo mbalimbali ya majimbo yote ya mkoa wa pwani leo.

Operesheni hiyo itakayohusisha mikutano ya ndani na hadhara italenga ujenzi na kukagua uhai wa chama.

Itaongozwa na mkurugenzi wa mawasiliano na uhusiano wa chama, jj mnyika.

lipeni na pango za ofisi basi.si chopa tu kila cku wakati walowapangisha ofisi hamwalipi
 
chadema ipo kwa mipando ya mungu.....
 
Back
Top Bottom