Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.
rudi uchambe kwanza ndo uje hapa kwa wanaume! Pamoja daima,wapeni elimu ya ukombozi wananchi wa maeneo hayo kwani wapo nyuma sana kimaendeleo
Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.
Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.
Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.
Fedha za msaada ndiyo zishaanza kutumika hivyo?This Party is really good when it comes to bad investment and it never learns.They are becoming pathetic by the day
Mkuu zile FORD tulipewa msaada na chama rafiki cha DENMARK kwa ajili ya "kukomboa" nchi.
Mwendo mdundo...leo na kesho tutaeleza jinsi CCM inavyozidi kudhihirisha ilivyo irrelevant tena kupitia ziara zao wanazofanya hivi sasa ambapo itakuwa sawa na kuwakaanga kwa mafuta yao wenyewe.
Tutaonesha namna wanavyozidi kuwa irrelevant wakiendelea kufanana na Sangara wanavyokula samaki wadogo ziwani, kupitia bajeti za serikali yao mwaka huu.
Mambo mengi yatawekwa wazi namna CCM wanavyopinga mchakato wa Katiba Mpya kwa ajili ya kulinda ufisadi na mafisadi.
CDM ndilo tumaini jipya,tupo pamoja na ninyi na Mungu awatangulie huko Pwani.
CDM mwaka wa shetani mpaka kipigo cha 2015, kama Jimbo la kalenga na Chalinze ilishindikana mwakan mtaangukia pua
CHADEMA inaanza operesheni ya chopa kwa siku 2 katika maeneo mbalimbali ya majimbo yote ya Mkoa wa Pwani leo.
Operesheni hiyo itakayohusisha mikutano ya ndani na hadhara italenga ujenzi na kukagua uhai wa chama.
Itaongozwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chama, JJ Mnyika.
CDM mwaka wa shetani mpaka kipigo cha 2015, kama Jimbo la kalenga na Chalinze ilishindikana mwakan mtaangukia pua
Makene,Ratiba y
1.Mhoro-RUFIJI. 2.Bungu-KIBITI. 3.Kimanzichana
-MKURANGA. 4.Msimbu-KISARAWE. 5.Chanzige -KISARAWE.
Ndicho unachokifuata JF kufuatilia wenzako?Jamaa kiboko kweli huyu,naona kuna watu wana vibanda vya kudumu humu ndani imagine nimejoin hii forumn back in 2012 lakini sijaposts au kucomment kama huyu jamaa who is only 5months old!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Join Date : 6th January 2014
Posts : 1,153
Rep Power : 659
Likes Received480
Likes Given0
tangu tuanze mwaka huu , hii ndiyo POST DHAIFU kuliko zote .
CHADEMA inaanza operesheni ya chopa kwa siku 2 katika maeneo mbalimbali ya majimbo yote ya Mkoa wa Pwani leo.
Operesheni hiyo itakayohusisha mikutano ya ndani na hadhara italenga ujenzi na kukagua uhai wa chama.
Itaongozwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chama, JJ Mnyika.