CHADEMA kuiteka Pwani

CHADEMA kuiteka Pwani

Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.

rudi uchambe kwanza ndo uje hapa kwa wanaume! Pamoja daima,wapeni elimu ya ukombozi wananchi wa maeneo hayo kwani wapo nyuma sana kimaendeleo
 
Muwaeleze na wananchi Ruzuku zaidi ya milioni mia mbili kila mwezi huwa mnaipeleka wapi.

wewe jamaa hivi unajua kwamba UMECHOKWA NA KILA MTU HUMU ? UNAULIZA MASWALI YA KIPUUZI SANA ! HIVI RUZUKU YA CCM UNAFAHAMU INAVYOTUMIKA ? NA UNAJUA NI KIASI GANI ? KAMA UNGEFAHAMU HILI USINGETHUBUTU KUPANDISHWA FUSO KUTOKA RUFIJI HADI CHALINZE !
 
Fedha za msaada ndiyo zishaanza kutumika hivyo?This Party is really good when it comes to bad investment and it never learns.They are becoming pathetic by the day

tangu tuanze mwaka huu , hii ndiyo POST DHAIFU kuliko zote .
 
Mwendo mdundo...leo na kesho tutaeleza jinsi CCM inavyozidi kudhihirisha ilivyo irrelevant tena kupitia ziara zao wanazofanya hivi sasa ambapo itakuwa sawa na kuwakaanga kwa mafuta yao wenyewe.

Tutaonesha namna wanavyozidi kuwa irrelevant wakiendelea kufanana na Sangara wanavyokula samaki wadogo ziwani, kupitia bajeti za serikali yao mwaka huu.

Mambo mengi yatawekwa wazi namna CCM wanavyopinga mchakato wa Katiba Mpya kwa ajili ya kulinda ufisadi na mafisadi.

asante SANA KAMANDA .
 
CDM ndilo tumaini jipya,tupo pamoja na ninyi na Mungu awatangulie huko Pwani.
 
siku mbil aitoshi kwa pwan hiyo mikoa ni special case pwani;lind ;mtwara;tabora;singda ;songea na dar yenyw
 
CDM mwaka wa shetani mpaka kipigo cha 2015, kama Jimbo la kalenga na Chalinze ilishindikana mwakan mtaangukia pua
 
CHADEMA inaanza operesheni ya chopa kwa siku 2 katika maeneo mbalimbali ya majimbo yote ya Mkoa wa Pwani leo.

Operesheni hiyo itakayohusisha mikutano ya ndani na hadhara italenga ujenzi na kukagua uhai wa chama.

Itaongozwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chama, JJ Mnyika.

vipi mikutano ya ukawa imeishia wapi?
 
dhambi ya ubaguzi inaitafuna chadema, sasa hivi baada ya kupata msaada wa milioni 700 wameanza kuwatenga washirika wao wa ukawa cuf na nccr
 
CDM mwaka wa shetani mpaka kipigo cha 2015, kama Jimbo la kalenga na Chalinze ilishindikana mwakan mtaangukia pua

ndugu yangu Jimy, na elimu yako yote ndo unazungumza mavi kiasi hiki!
 
Ratiba y

1.Mhoro-RUFIJI. 2.Bungu-KIBITI. 3.Kimanzichana
-MKURANGA. 4.Msimbu-KISARAWE. 5.Chanzige -KISARAWE.
Makene,
Chama kiwaonyeshe wananchi toka tupate uhuru:
1. Bajeti inatengwa lakini wilaya ya Utete bado kisiwa
2.wilaya toka 1961-2014 soko la wilaya liko km 80 ( ikwiriri), bajeti wakiramba tu wanaccm
3. Wanautete,nyamwage kibata,kitundu,hakuna barabara inayounganisha wilayani na ikwiriri
4. Waonyesheni ni miaka 53 toka tupate uhuru,wakaazi wa mafia,bado hakuna hata gati bora bali mitumbwi tu ,achilia barabara inayochepa kwenda kwenye kisiwa
Ccm ni zaidi uijuavyo,ccm ya bungeni ndio ccm ya nje,hakuna maji utete wakati mto Rufiki upo mgongoni mwa jengo lililoachwa na wakoloni hata kulipaka rangi na ukarabati tu hakuna,Nendeni nyumba za wafanyakazi wa utete,
Mbunge anamaisha safi,wananchi aibu,hakuna viwanja vya mpira,masoko,jamani ziara hii itupe matumaini,bigup chadema!!!!!!!
 
Jamaa kiboko kweli huyu,naona kuna watu wana vibanda vya kudumu humu ndani imagine nimejoin hii forumn back in 2012 lakini sijaposts au kucomment kama huyu jamaa who is only 5months old!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Join Date : 6th January 2014
Posts : 1,153
Rep Power : 659
Likes Received480
Likes Given0
Ndicho unachokifuata JF kufuatilia wenzako?
 
CHADEMA inaanza operesheni ya chopa kwa siku 2 katika maeneo mbalimbali ya majimbo yote ya Mkoa wa Pwani leo.

Operesheni hiyo itakayohusisha mikutano ya ndani na hadhara italenga ujenzi na kukagua uhai wa chama.

Itaongozwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chama, JJ Mnyika.

CHOPA Mkoa wa Pwani ,you can't be serious.Kwenda Mkuranga is a matter of minutes, kwenda kibaha is just a matter of minutes ,kwenda Ikwiriri ia a matter of an hour or so.Sasa CHOPAS mngeitumia wakati wa campaign Chalize.
 
Back
Top Bottom