Akisoma maadhimio kumi na sita mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika amesema chama chake kipo njiani kuishataki serikali kutokana na makada wake kumi na tano kuuawa na serikali kukaa kimya.
Source ITV.
Ninaunga mkono hoja 10000%. Haiwezekani serikali iseme inathamini uhai wa raia wake wakati huo huo ikae kimya wakati mauwaji ya kinyama yanafanywa. Watu 15 ni wengi sana kwa nchi inayodai inathamini uhai wa binadamu.
hiyo ndiyo dawa.
walikubali mfumo wa demokrasia ya vyama vingi ili watuuwe?
au walifikiri masihara?
wamelikoroga lazima walinywe.
watake wasitake chama cha mafisadi lazima king'oke.
Uchungu huo mnaupata leo?
kwani mara ya kwanza watu kuuwawa na polisi hapa bongo?
Mkapa hakuua wapemba january 21
Naona TBC, wameiruka hiyo habari au hawakuwa nayo kabisa!!
Buruza magamba cortini tu!!
Naona TBC, wameiruka hiyo habari au hawakuwa nayo kabisa!!
Buruza magamba cortini tu!!
siasa za visasi mpaka lini jama?, serikali kuua raia wake ili itawale hakuna utofauti na serikali ya kidikteta kama ya id amin dada, adolph itler, musolin,etc, shame on them!
Uchungu huo mnaupata leo?
kwani mara ya kwanza watu kuuwawa na polisi hapa bongo?
Mkapa hakuua wapemba january 21
Ni kweli bana watu wanauawa kwa kukatwa na shoka katika mazingira ya kutatanisha lakini serikali ipo kimya tu!!!!
Kila kitu nchi hii mpaka mashinikozo.
Hebu fikiria Igunga tumepoteza kada mmoja Mbwana, Arumeru Mwenyekiti.
Ilemela wabunge wetu wamejeruhiwa hivi hivi halafu inaonekana wazi kabisa Jeshi la Polisi limezembea. Mpaka leo haijulikani kama kuzembea huko ni kwa bahati mbaya au makusudi!!!!
hiyo ndiyo dawa.
walikubali mfumo wa demokrasia ya vyama vingi ili watuuwe?
au walifikiri masihara?
wamelikoroga lazima walinywe.
watake wasitake chama cha mafisadi lazima king'oke.