watakao kuwepo mbowe,lema na wabunge
Duh lazima mujitafutie viatu vyenu visafi endelezeni libenele vijana 2015 munatakiwa kukaba rufu kila mahali serikali za mitaa,udiwani na ubunge kuendeleza nchi yenu musiwaachie michwa mutageuka vichuguuNi ng'ong'ona, nje kidogo ya chuo cha Elimu-Udom, karibuni sana tuendeleze harakati za kukizika chama cha kijani, wamezoea kutufanya wajinga, kila baada ya miaka mi5, wanatupima viatu, bora vingekuwa vizuri na vya kisasa, lakini viatu vyenyewe vinanuka uvundo na vinafangasi, hii haitavumilika hata kidogo,hasa kwa vijana wa kileo kama sisi.....! CCM KAENI CHONJO.....!