CHADEMA kufanya mkutano mkubwa Mtwara Mjini

CHADEMA kufanya mkutano mkubwa Mtwara Mjini

Joined
Jan 4, 2015
Posts
29
Reaction score
13
Wanajamvi CHADEMA kinatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa Mtwara Mjini. Mkutano huo utafanyika tarehe 12 - 04 - 2015 kuanzia saa nane (8:00) kamili mchana. Mkutano huo utahutubiwa na Viongozi wa Kitaifa wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Tanganyika Mh. John John Mnyika. Wanachama na wapenzi wa maeneo ya Mikoa ya Lindi na Mtwara mnakaribishwa sana.
 
John John Mnyika atatanguzana na Viongozi gani wengine, Halima Mdee?
 
Safi kabisa,bora mkasafishe hali ya hewa inayoweza chafuliwa na hao mamluki ACT..Wanataka kuwapotosha wananchi wasiwe na imani tena na UKAWA,ambapo UKAWA imejitahidi kuwabadiri kimtazamo wananchi na wanadhamira ya dhati kuwaletea ukombozi wa kweli waTanzania baada ya uchaguzi mkuu october ambapo UKAWA itatwaa dola.
 
Hivi Mtwara kuna wachaga kweli wakujaza mkutano wa Chadema.

Nauliza tu.
 
Hivi Mtwara kuna wachaga kweli wakujaza mkutano wa Chadema.

Nauliza tu.

kwani mbeya/mwanza napo kuna wachaga wa kujaza furahisha? Au himo napo kuna wakwere kinana alikuja nao pale sokon au sheikh amri abedi
 
CHADEMA Mtwara haiuziki
Mauzo yepi ndugu? Mwaka 2009 CHADEMA Mtwara Mjini tulikuwa na Wenyeviti wa Mitaa 2 tu. Mwaka 2014 CHADEMA kimepata Mitaa 16.

Mkoa mzima wa Mtwara mwaka 2009 CHADEMA kilipata Wenyeviti wa Vijiji na Mitaa 11. Mwaka 2014 CHADEMA kina Vijiji na Mitaa 52.

Hapo kinazidi kuuzika au kinaporomoka?
 
Watanzania tunahitaji ukombozi vilaza wengine wanatajataja habari za ukabila.ukabila umebakia kuwa sera ya waso na hoja.
 
Hivi Mtwara kuna wachaga kweli wakujaza mkutano wa Chadema.

Nauliza tu.

Najiaminisha tu kwamba, mkuu ritz una akili kushinda hizi unazoonyesha hapa jukwaani ktk siku za hivi karibuni..!!

BACK TANGANYIKA
 
Ivi nyie unaoendekeza ukabila mnyika nae mchana? Haya salum mwalimu sugu mawazo silinde yamsebo prof safari mzee mapigo7 mwanawakotide Au wachaga wako midomoni mwenu sana haya na h mdee msigwa mm naishiahapo mfipamie hongereni sana kwakuwawenga wasomi na watuwahekima
 
ccm haitookelewa na huu mchepuko wake wa wasaliti.cdm mashine kubwa na ndiyo inayoongoza nchi kwa sasa, maccm yanajaribu kutekeleza Sera za cdm lakini yanafeli mbaya
 
Back
Top Bottom