Kutokana na chadema kukubalika kwa sehemu kubwa ya nchi hii hasa upande wa bara kwa mikoa ya kaskazini ,kanda ya ziwa ,Magharibi(Kigoma) na kwa kiasi flani nyanda za juu ni vizuri zaidi kwa sasa nguvu kubwa ikaelekezwa maeneo ya mikoa ya kati kama Singinda,Dodoma na Tabora huku mikakati na mbinu za hali ya juu zikihitajika kwa upande Tanzania visiwani kupata watu sahihi wa kuimarisha chama maeneo hayo.
Moja ya njia za kuanza kutekeleza mkakati huo ni kutumia uchaguzi wa BAVICHA unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,kwa mara ya kwanza ningefarijika kuona mwenyekiti wa BAVICHA akitokea ZANZIBAR na kama siyo hivyo basi na iwe DODOMA.
NI MTAZAMO TU!
Moja ya njia za kuanza kutekeleza mkakati huo ni kutumia uchaguzi wa BAVICHA unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,kwa mara ya kwanza ningefarijika kuona mwenyekiti wa BAVICHA akitokea ZANZIBAR na kama siyo hivyo basi na iwe DODOMA.
NI MTAZAMO TU!