mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Lazima wabaki na akiba, sababu kesi zina andaliwa kila siku ili kukiua chama.Hiyo hela CHADEMA kama chama ni kiduchu sana hawawezi kukosa. Mbali na hivyo wahusika wote kwenye hukumu hiyo ni vigogo ambao hata kama wangehukumiwa kulipa mil 100 kila mmoja, bado wasingeshindwa kulipa kutoka kwenye mifuko yao. Wanachojaribu kufanya sasa hivi ni kutafuta hela ya ku-top-up, ambacho ni kitu chema pia,msaada wa baraka kuotka kwenye public. Hivi hizi hela ndiyo zinaweza kuwa ni malipo kwa familia ya Akwilina au ni za Serikali moja kwa moja?
Chama hawakiwezi kukiua watauwana wao kwa kulishana sumuLazima wabaki na akiba, sababu kesi zina andaliwa kila siku ili kukiua chama.
Mbona hushangai mapenzi yako kwa SIMBA au YANGA. Ni hivyo hivyo pia. Waache wafu wazike wafu wao. Lisilokuhusu lisikushughulishe!Luqman mohamedy,
Hii nchi kuna wananchi wanapenda vyama vyao vya siasa hadi unashangaa siyo Chadema wala CCM.
You may have a point.
Ile dhana ya mtu kuwajibika kwa matendo yake inakuwa haipo tena.
Sasa wale wanyonge wanazidi kunyongwa tu, hata kile kidogo wananyang'anywa.
Uwa na reason na logic siyo mapenzi au hisia zangu. Wangekuwa wachache ningekaa kimya lakini jamii yetu imejaa wafuata upepo hadi inatisha sasa.Mbona hushangai mapenzi yako kwa SIMBA au YANGA. Ni hivyo hivyo pia. Waache wafu wazike wafu wao. Lisilokuhusu lisikushughulishe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeingiwa na uwendawazimu? Kwani wamekuomba?Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.
Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.
Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.
Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.
Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.
Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.
Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.
Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.
Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.
Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.
Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ndo lazima upayuke? Hivi mkuu wewe ni ngumbaru?🤦🏾♂️HIII.MICHANGI YAKIJINGA MNGELIPA MADIWANI PESA ZAO WASINGEONDOKA POLN SANA POLE KAKA SUGU MBEYA UTOKI MWAKA HUU LABDA USHINDE JACKPOTView attachment 1384187View attachment 1384188
Kchangisheeee Kwanzaa chamaa chenuu cha wachaagaa wale wazee watafiaa kuleeKwani ndo lazima upayuke? Hivi mkuu wewe ni ngumbaru?🤦🏾♂️
Wacha tumchangie kiongozi wetu.Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.
Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.
Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.
Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.
Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.
Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.
Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.
Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.
Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.
Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.
Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kuandika kwanza ndo uje hapa.Kchangisheeee Kwanzaa chamaa chenuu cha wachaagaa wale wazee watafiaa kulee
#PELEKAAA MZIGOOO HUO KWA WANAUME USIJITOE UFAHAMU WENZIO WASHALA SAA TISA WANASUBIRI MSHIKO WAKOOJifunze kuandika kwanza ndo uje hapa.
Huyu hajui alisemalo, Mungu amsamehe bure. Waliomuua Akweli wewe huwajui kweli? Hiyo silaha nani?Sina muda wa kuchangia wahuni ,matapeli ,wezi na wauaji wakubwa wa Akwilina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
We endelea kushangaa hivyo hivyo
Kaka hawajakosea au umesahau kuwa huu ndiyo mwaka wenyewe??? Huruma ya watu utaipataje kama hutumii fursa?Siamini na hainiingii akilini wanasiasa wote wale na mali wanazomiliki wameshindwa kulipa hizo pesa za hukumu.
Ninachokiamini hawa jamaa wanajaribu kutuaminisha wao ni wanyonge na masikini kwahiyo waonewe huruma.
Shangingi 2 zinatosha kutoa hio pesa, hakukuwa na sababu ya kuomba michango kuongopea watu nyie ni maskini.
Mimi sio na sitaki kumsemea hakimu ila nnachojaribu kusema wabunge zaidi ya 8 (wanaopokea 7M per month) kutoka chama kinachopokea ruzuku na misaada ya nje kuchangisha M350 ili kuwin the public ni fedheha kubwa.
Hio nguvu ya kuchangisha tunaomba waianze kwenye shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao yaliyotelekezwa.
Usijibu kwa hisia nchi yetu sote,pande zote zinaweza kukosea.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app