CHADEMA Kiwira yafanya kufuru tena

CHADEMA Kiwira yafanya kufuru tena

Tujuwane hapa hapa kwenye majukwaa ya JF yaishie hapa hapa kwenye majukwaa ya JF. Sina haja ya kuongea na mtu kwenye simu na kama una la muhimu liweke hapa hapa jukwaani.

Umuhimu wa kupigiana simu huo kwangu umebuugi maaan!

Toa number utekenywe!
 
JF kuna viumbe viatu watu jamani!! ona huyu sheikh anayejifanya kuijua bible!!

Pata darsa dogo:

Mathayo 15.21-28
Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi: "Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu. Kama asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia):
"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wnaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Nakushangaa wewe unayeijua biblia hayo huyaoni.
 
Tujuwane hapa hapa kwenye majukwaa ya JF yaishie hapa hapa kwenye majukwaa ya JF. Sina haja ya kuongea na mtu kwenye simu na kama una la muhimu liweke hapa hapa jukwaani.

Umuhimu wa kupigiana simu huo kwangu umebuugi maaan!

Wacha wee 1407660012000.jpg
 
Taarifa hii mpelekeeni gamba Kasesela kuwa ubunge anaounyemelea atausikia kwenye bomba tu; hizo pesa za magendo ya madini anazotawanya apeleke kwa watoto yatima!!
 
Toa number utekenywe!

Mnajifurahisha tu, mwenye kujuwa kutekenyana anatangaza? saa hizi anagombaniwa.

Kizuri chajiuza kibaya chajitangaza.

Ukiona jitu linakuja kwenye mitandao kutafuta namba za simu ujuwe hilo halijiamini aka domo zege!
 
Mnajifurahisha tu, mwenye kujuwa kutekenyana anatangaza? saa hizi anagombaniwa.

Kizuri chajiuza kibaya chajitangaza.

Ukiona jitu linakuja kwenye mitandao kutafuta namba za simu ujuwe hilo halijiamini aka domo zege!

1407662668592.jpg
 
Tujuwane hapa hapa kwenye majukwaa ya JF yaishie hapa hapa kwenye majukwaa ya JF. Sina haja ya kuongea na mtu kwenye simu na kama una la muhimu liweke hapa hapa jukwaani.

Umuhimu wa kupigiana simu huo kwangu umebuugi maaan!

Daaaah unanimaliza tu jinsi unavyoongea kwa mapoooooooooooziii. Nasikia wewe ndie mpigaji vigelele hodari kwenye mikutano ya sisiem!!!
 
Pata darsa dogo:

Mathayo 15.21-28
Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi: "Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu. Kama asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia):
"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wnaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Nakushangaa wewe unayeijua biblia hayo huyaoni.

Peleka kwenye jukwaa la dini hapa si mahali pake
 
Aminaaaaa!! Ndio dawa ya wasaliti na magamba!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Taarifa hii mpelekeeni gamba Kasesela kuwa ubunge anaounyemelea atausikia kwenye bomba tu; hizo pesa za magendo ya madini anazotawanya apeleke kwa watoto yatima!!

kasesera huyuhuyu richard ? Wana RUNGWE MSIJEINGIZWA MKENGE !
 
Pata darsa dogo:

Mathayo 15.21-28
Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina. Kama hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia, The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi: "Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Mathayo 7.6
Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili. Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu. Kama asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake Guide to the Bible (Uwongozi kwa Biblia):
"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wnaokusudiwa katika mstari huu? Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Nakushangaa wewe unayeijua biblia hayo huyaoni.
Tafsiri za kishetani kwa vitabu vitakatifu zipo nyingi sana!! Kwa vile umeamua kuungana na shetani ninakutuma ukasome tena Mathayo 4:1 hadi 11. Uone jinsi shetani alivyoitumia biblia kumjaribu Yesu. Alitumia Biblia kufanya tafsiri anayotaka kama unavyoileta sasa hivi. Nitaweza kuanza ubishi na wewe lakini ninaelekezwa kusema hivi "Nenda nyuma yangu shetani"
 
Tafsiri za kishetani kwa vitabu vitakatifu zipo nyingi sana!! Kwa vile umeamua kuungana na shetani ninakutuma ukasome tena Mathayo 4:1 hadi 11. Uone jinsi shetani alivyoitumia biblia kumjaribu Yesu. Alitumia Biblia kufanya tafsiri anayotaka kama unavyoileta sasa hivi. Nitaweza kuanza ubishi na wewe lakini ninaelekezwa kusema hivi "Nenda nyuma yangu shetani"

Hicho ni Kiswahili unataka tafsiri ipi tena?

Tukuletee Kiingereza?
 
Hahaha magamba safari hii mmeula wa chuya hahaha
 
Duh! na mchungaji wenu mkuu kashindwa hata kuchunga "..." waliopotea, (zamani nilikuwa nasema kondoo) baada ya kuisoma biblia na kujuwa kuwa kondoo waliopotea ni Wayahudi pekee, naona taabu kuyaandika majina mabaya mlioitwa kwenye biblia msiokuwa Wayahudi. Poleni sana.

Sasa wewe unaamini aliyekuumba anaweza kukuita nguruwe na mbwa? kwa kuwa tu si Myahudi! hivyo ndivyo muitwavyo kwenye bibilia, hizo ndizo "kazi zake"? Fikiri.
VIP satanic verses ya salman rashdee umeisoma?
 
Mnajifurahisha tu, mwenye kujuwa kutekenyana anatangaza? saa hizi anagombaniwa.

Kizuri chajiuza kibaya chajitangaza.

Ukiona jitu linakuja kwenye mitandao kutafuta namba za simu ujuwe hilo halijiamini aka domo zege!

Mbona jina lako linafanana na kitu fulani kipendwacho na fbi
 
Back
Top Bottom