CHADEMA Kiwira yafanya kufuru tena

CHADEMA Kiwira yafanya kufuru tena

Hata mimi siku sina kazi na nikiona jirani kuna mkutano wa chadema huwa naenda kuwasikiliza porojo zao.


FAIZA MPENZI WANGU, NDIO MAANA TUNASEMA CHADEMA NI KAMA MAJI, USIPOYANYWA UTAYAOGA, USIPOYAOGA UTAFULIA NGUO, KUOSHEA VYOMBO, KUSAFISHA NYUMBA, NA MENGINEYO.

UPO MAMA? Nimefurahi kusikia kuwa unaendaga kupata habari za ukombozi!
 
Kuna kamanda namtafuta siku hizi hafiki kabisa hapa jamvini..
Kamanda "kijome "popote ulipo njoo tutaeleze magamba habaro za ukombozi.
Kamanda "sweetlady"wa Arusha uko wapi?
 
muda c mrefu Mungu atatutenganisha na viumbe jamii yanu sio binadam wa kawaida mnaokataa hadi kazi zake.

Duh! na mchungaji wenu mkuu kashindwa hata kuchunga "..." waliopotea, (zamani nilikuwa nasema kondoo) baada ya kuisoma biblia na kujuwa kuwa kondoo waliopotea ni Wayahudi pekee, naona taabu kuyaandika majina mabaya mlioitwa kwenye biblia msiokuwa Wayahudi. Poleni sana.

Sasa wewe unaamini aliyekuumba anaweza kukuita nguruwe na mbwa? kwa kuwa tu si Myahudi! hivyo ndivyo muitwavyo kwenye bibilia, hizo ndizo "kazi zake"? Fikiri.
 
Sivutiwi nazo, "Get to know your rivals" - Genghis Khan.

Sasa kinachokupeleka ni nini?
Wewe utakuwa moyoni ni chadema, ila kutokana na njaa plus umasikini basi inabidi utumikie magamba.
 
Duh! na mchungaji wenu mkuu kashindwa hata kuchunga "..." waliopotea, (zamani nilikuwa nasema kondoo) baada ya kuisoma biblia na kujuwa kuwa kondoo waliopotea ni Wayahudi pekee, naona taabu kuyaandika majina mabaya mlioitwa kwenye biblia msiokuwa Wayahudi. Poleni sana.

Sasa wewe unaamini aliyekuumba anaweza kukuita nguruwe na mbwa? hivyo ndivyo muitwavyo kwenye bibilia, Fikiri.

Chezea vitu vyoote , tukana ipendavyo ila usiingize maandiko ya Mungu na jina la Mungu kwa kisakia tonge lako huko magamba. ...utaaaniwa shauri yako.
 
Duh! na mchungaji wenu mkuu kashindwa hata kuchunga "..." waliopotea, (zamani nilikuwa nasema kondoo) baada ya kuisoma biblia na kujuwa kuwa kondoo waliopotea ni Wayahudi pekee, naona taabu kuyaandika majina mabaya mlioitwa kwenye biblia msiokuwa Wayahudi. Poleni sana.

Sasa wewe unaamini aliyekuumba anaweza kukuita nguruwe na mbwa? hivyo ndivyo muitwavyo kwenye bibilia, Fikiri.

Faiza si kweli kwamba umeisoma Biblia na kuielewa si kitu rahisi namna hiyo
Ulichofanya wewe na critics wengine wa Biblia ni kuchukua mistari michache na kuipa tafsiri waitakayo wao
 
Faiza si kweli kwamba umeisoma Biblia na kuielewa si kitu rahisi namna hiyo
Ulichofanya wewe na critics wengine wa Biblia ni kuchukua mistari michache na kuipa tafsiri waitakayo wao

Huyu FAIZA ni mnywa gongo kama nape na kinana
 
Bado tunahitaji kumuelimisha kwa njia hii ili hatimaye awe mmoja wetu kwa mitazamo yoyote ile

Ni kweli kamanda mshana jr...Taifa ni lazima likombolewe...hata nape ni lazima arudi kwenye harakati za Ukombozi. Ni njaa tuu zinamsumbua nape..
 
Ni kweli kamanda mshana jr...Taifa ni lazima likombolewe...hata nape ni lazima arudi kwenye harakati za Ukombozi. Ni njaa tuu zinamsumbua nape..

Kuna kundi kubwa sana ndani ya ccm ambalo likisema leo linaamua kuonyesha uhalisia wake na kuungana nasi ccm itapukutika kama majani ya mti wakati wa kiangazi
Hili kundi haliridhishwi kabisa na jinsi mambo yanavyoendelea kichama na kiserikali pia hili kundi ni ccm usoni lakini moyoni ni wenzetu na ndo maana kuna mtifuano wa nguvu sana ndani ya ccm unaendelea kimyakimya! Ila ni suala la wakati tuu kwa kuwa ccm is a dying empire hali na kitakachoiokoa ccm!!!HAKUNA
 
Duh! na mchungaji wenu mkuu kashindwa hata kuchunga "..." waliopotea, (zamani nilikuwa nasema kondoo) baada ya kuisoma biblia na kujuwa kuwa kondoo waliopotea ni Wayahudi pekee, naona taabu kuyaandika majina mabaya mlioitwa kwenye biblia msiokuwa Wayahudi. Poleni sana.

Sasa wewe unaamini aliyekuumba anaweza kukuita nguruwe na mbwa? kwa kuwa tu si Myahudi! hivyo ndivyo muitwavyo kwenye bibilia, hizo ndizo "kazi zake"? Fikiri.
JF kuna viumbe viatu watu jamani!! ona huyu sheikh anayejifanya kuijua bible!!
 
faizafox mambo vipi dada angu, naomba namba zako za simu nina maongezi muhimu sana

Tujuwane hapa hapa kwenye majukwaa ya JF yaishie hapa hapa kwenye majukwaa ya JF. Sina haja ya kuongea na mtu kwenye simu na kama una la muhimu liweke hapa hapa jukwaani.

Umuhimu wa kupigiana simu huo kwangu umebuugi maaan!
 
Back
Top Bottom