William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Ni chama kikubwa kisichokuwa na media zake. Kimekosa tv na redio sawa. Sasa hata gazeti na majarida?
Mbinu ya kujieneza wanayotumia chadema ni ya mikutano na maandamano tu. Ni mbinu nzuri ila lazima chadema iingie mpaka vijijini. Ndani ni lazma habari zake p+ ziene.
Natabiri kifo cha chadema sababu kinawashabiki wengi kuliko wanachama ambao wangenunua kadi na kukijenga chama.
Washabiki wanaoamini CHADEMA ni kisichokosea
Chadema kinawanachama wanaovizia wenzao wakosee ili wapate sababu za kuutaka uongozi. Kama ilivyotaka kuwa baada ya arumeru.
Mtu kama Zitto anayewaza zaidi kuongoza, aliyemdanganya Kafulila akaama chama. Aliyefadhiri kampeni za NCCR Kigoma. Mara baada ya kuukosa Uenyekiti. Ni mtu wa kumwangalia kwa makini mno kwa ustawi wa chama.
Hoja za wananchi hazipiganiwi zaidi ni hoja za chama. Huwa nasema kwa chadema safi HAKUNA HAJA YA WANAHARAKATI
HAKUNA HAJA YA VYAMA VYA WAFANYAKAZI
HAKUNA HAJA YA .,,..
Chadema iwe ni taasisi ya kitaalamu iajiri watalamu wa siasa na utafiti washugulikie maswala yafuatayo
Kwanini wanawake wengi na wazee hawajihusishi na siasa. Ni wagumu kubadilika na jinsi gani wanaweza kubadili maamuzi yao
wajue mbinu za ujumbe wa ukombozi wa taifa hili vipi utamfikia kilamtu ata aliyehoi kitandani!
Tuandae wenyeshahada kugombea udiwani vijijini 2015 ili kupunguza wizi kwenye halmashauli kwani wengi hawatakuwa na ajira vyuo ni vingi kwa sasa. Kuboresha mishahara na marupurupu wakiichukua halmashauri kwani zinaela sema zinagawanwa na wakuu wa idara na naamini kutakuwa na mhitimu wa chuokikuu kila kata hadi 2015.
Nasisitiza kujenga jina la chama na wanachama wanaoaminika tu. Ila kujenga jina la Zitto mnatafuta kulia asipogombea Uraisi 2015. CHADEMA KWANZA JINA LA MTU BAADAE. Huwa nashangaa wanachama wanaotumia muda mwingi kujenga majina yao na si jina la chama chao.
Mbinu ya kujieneza wanayotumia chadema ni ya mikutano na maandamano tu. Ni mbinu nzuri ila lazima chadema iingie mpaka vijijini. Ndani ni lazma habari zake p+ ziene.
Natabiri kifo cha chadema sababu kinawashabiki wengi kuliko wanachama ambao wangenunua kadi na kukijenga chama.
Washabiki wanaoamini CHADEMA ni kisichokosea
Chadema kinawanachama wanaovizia wenzao wakosee ili wapate sababu za kuutaka uongozi. Kama ilivyotaka kuwa baada ya arumeru.
Mtu kama Zitto anayewaza zaidi kuongoza, aliyemdanganya Kafulila akaama chama. Aliyefadhiri kampeni za NCCR Kigoma. Mara baada ya kuukosa Uenyekiti. Ni mtu wa kumwangalia kwa makini mno kwa ustawi wa chama.
Hoja za wananchi hazipiganiwi zaidi ni hoja za chama. Huwa nasema kwa chadema safi HAKUNA HAJA YA WANAHARAKATI
HAKUNA HAJA YA VYAMA VYA WAFANYAKAZI
HAKUNA HAJA YA .,,..
Chadema iwe ni taasisi ya kitaalamu iajiri watalamu wa siasa na utafiti washugulikie maswala yafuatayo
Kwanini wanawake wengi na wazee hawajihusishi na siasa. Ni wagumu kubadilika na jinsi gani wanaweza kubadili maamuzi yao
wajue mbinu za ujumbe wa ukombozi wa taifa hili vipi utamfikia kilamtu ata aliyehoi kitandani!
Tuandae wenyeshahada kugombea udiwani vijijini 2015 ili kupunguza wizi kwenye halmashauli kwani wengi hawatakuwa na ajira vyuo ni vingi kwa sasa. Kuboresha mishahara na marupurupu wakiichukua halmashauri kwani zinaela sema zinagawanwa na wakuu wa idara na naamini kutakuwa na mhitimu wa chuokikuu kila kata hadi 2015.
Nasisitiza kujenga jina la chama na wanachama wanaoaminika tu. Ila kujenga jina la Zitto mnatafuta kulia asipogombea Uraisi 2015. CHADEMA KWANZA JINA LA MTU BAADAE. Huwa nashangaa wanachama wanaotumia muda mwingi kujenga majina yao na si jina la chama chao.