Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,017
Sasa wewe unauliza nini? kwanza CDM haifiki 2015 itakuwa imeshachuja na kupotea kabisa katika ulingo wa siasa hapa Tanzania. Itabaki midomoni mwa wavuta bange na majuha wengine.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
mvuta bange yupi unaemaanisha Wasira au Lusinde?