mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Ukiacha muhemuko wa kuitoa CCM madarakani naanza kupata wasiwasi wa nini zitakuwa ni policy za kiuchumi za CHADEMA. Nikifuatilia mikutano yao CDM wanajipambanua kama CENTRE-RIGHT PARTY. Mpaka sasa sielewi hizo ni policy gani. Mimi naelewa mbili tu UJAMAA na UBEPARI. Sasa leo CDM wanamtaja nyerere kwani wao ni wajamaa? wakiikosoa CCM kwani ubepari si ndio CCM wanafanya na CDM si ndio watafuata? WASOMI WA HIZI SIASA HEBU NIELEWESHENI NDIO ZIKOJE? angalizo:kama huna cha kuchangia tafadhali pita tu matusi yasijeanza hapa maana kuna watu hawaangalii kesho wao wanaona leo tu!