CHADEMA Kigoma kaskazini wamefanya yao

CHADEMA Kigoma kaskazini wamefanya yao

labda uweke picha ingine km unayo hata msemaji nae tumuone usiwe umechukua picha ya mkutano wa serkal ya kijiji et ndo mkutano wacdm
 
Dr. Yaredi ndo nani mkuu? Sipati kumbukumbu nzuri ya kamanda kama huyo. Najua Mheshmiwa Ali Kirasa ndo alikuwa anatangaza nia

Watangaza nia kwa CHADEMA ni wengi tu, kuna msomi zaidi ya Zitto anaitwa Elkana Kagoma
 
picha izungumze kamanda

Asije kujisahau akaweka za ACT Wazalendo maana inawatoa upepo balaa
ImageUploadedByJamiiForums1428864708.037410.jpg
 
Back
Top Bottom