CHADEMA Kiboko.....

CHADEMA Kiboko.....

hakuna mwanafunzi anaelewa na ku reson akaanza kumzomea m2 pasipo sababu we nae bendera ,jitambue soma mood ya audience na ujue cha kuongea,wanafunzi wa leo siowale wa kata
 
Waalianzisha harakati za ufisadi serikali ikapepesuka mpaka ikavunjwa na waziri mkuu kujiuzulu,wamekuja na maandamano nchi nzima CCM ikapepesuka,mpaka katibu mkuu kujiuzulu,CCM fumu fumu...wamevunjaaa.......ama kweli CDM chama makini...

CDM is playing its part as a real opposition party, thats why CCM is dancing to its tune. Vyama vingine vipo wapi jamani:tape:
 
Waalianzisha harakati za ufisadi serikali ikapepesuka mpaka ikavunjwa na waziri mkuu kujiuzulu,wamekuja na maandamano nchi nzima CCM ikapepesuka,mpaka katibu mkuu kujiuzulu,CCM fumu fumu...wamevunjaaa.......ama kweli CDM chama makini...


Kiongozi umevuka. We ni product ya Dr.. ? Maana Hii thread imewachanganya wanaojivua magamba.
 
CCM watahangaishwa na CDM mpka kieleweke,

Hilo gamba jipya tunalisubiri watatoa kauli gani kuhusu maandamano ya CDM,
Maana gamba la kale na UVCCM walichanganywa na maandamo mpaka wakapoteza mwelekeo;
 
Bado tunakuja na maandamano mengine.. Ya kupinga utaratibu wa uundwaji wa tume ya marekebisho ya katiba..
 
chadema mlijitahidi ila maandamanao na kuwadanganya wanafunzi wazomee na kuleta fujo sio hulka ya watanzania.

But lets be realist here; binafsi huwa sipendi tabia ya kuzomeazomea ila kwa nchi yetu wazomeaji maarufu ni wabunge wa chama tawala tena wakiwa ndani ya chombo rasmi cha kikatiba yaani Bunge. Au wale sio watanzania? Ila kama kisheria ni sahihi kama wanavyofanya wabunge, basi hakuna kosa na wala usilaumu wengine wakati upande mwingine unafanya hayo hayo.
 
vyama vya misimu tu kama umande.


Hata JK na wana CCM wengine wanajifariji hivyo hivyo lakini ukweli wanaujua kwamba CHADEMA sio chama cha msimu au kikundi cha wanaharakati. Sasa hivi kila mtu awe CCM, CUF (CCM B), TLP (CCM B), NCCR-MAGEUZI (CCM B) na tu vyama twingine tuna ongelea CHADEMA tu! Hapo ndio utajua nguvu ya/ na umakini wa CHADEMA!! BRAVO CHADEMA, ALUTA CONTINUA!!!!!!!!!!!
 
Chadema kina mikakati na mipango inayotekelezeka ndo maana kuchukua dola itakuwa rahisi. Ingekuwa uchaguzi ulikuwa wa wazi na hapakuwa na uchakachuaji basi CCM wangekiona.
 
:drum:Tanzania kuna vijana wa aina mbili. Kuna wale vijana wa system ambao wazazi au ndugu zao wapo kwenye system na wale walio nje ya SYSTEM. Walio kwenye system ni kama akina January marope, hussein Mwinyi, Nape na wengine. Vijana hawa hakika wanataka system ya CCM iendelee ili wawaandalie jamii zao nafasi. Vijana wengine ni wale ambao wanategemea misuli zaidi wapo bright ila hawapati nafasi.

CCM ikiendelea kukaa madarakani, vijana wasio wa system wataendelea kutengwa. Ila CCM ikianguka na Chadema wakiingia vijana walio nje watapata nafasi kwa kutegemea competence zao. Kwanini? Wataingia watu wapya tena wachache ambao hawana historia hivyo hata wakipendelea hawawezi kuchukua nafasi nyingi.

Nilikuwa nazungumza na kijana alisomea diplomasia ila hana kazi. Akaniambia kuwa ukienda balozi za nje wamejaa vijana wa wakubwa pamoja na kwamba hawajasomea diplomasia. Chadema ikishinda itawarudisha wote na kupeleka waliosomea hivyo kuivunja kabisa system iliyopo. Kijana ambaye si wa system anaye support CCM hafikirii vizuri. Huwa mtu ambaye hana kitu yakitokea mabadiliko yana nafasi kubwa zaidi ya kumnufaisha kuliko yule ambaye ana kitu. After all, wewe kijana wa mkulima huna cha kupoteza yakitokea mabadiliko ila kuna nafasi ya ku gain. Vijana tuungane tubadilishe system, tuivuruge tuijenge upya. Mwisho kwa vile sisi vijana ndio tutakuwa tumeiweka chadema madarakani, watatuheshimu, watatusikiliza maana wanajua tutawaondoa wasipofikisha malengo. Ndio maana SA ANC inawaheshimu sana wafanyakazi maana wanajua wao ni muhimu sana kwa ANC kubakia madarakani. :drum:
 
vyama vya misimu tu kama umande.
hata jk alisema hivyo hivyo, lkn sahizi anajuuuuuta... kukifahamu CDM, badala ya kujipanga mtaishia kuishia kusema vyama vya msimu hivyoo... Muulizeni Gbagbo alikoishia... kalagabaho...
 
Kushika Dola ndio mtakusikia tu , uwezo huo hawana CDM , october 2010 mliangukia pua bado hamkomi tu

waliangukia pua wakaamkia miguu,..
na kwa sababu hiyo mwendo wao ni wa kutisha maana maandamano mikoa5 tu kila kiongozi katetemeka!
Na inaonekana miaka hii mi5 watatembea sana,hadi kufikia 2015 walishafika kila kona ya nchi na kukitangaza chama!
Vipi,unahisi 2015 wainukia wapi?ikulu sio?
 
Chadema is just a gang. It will never rule the country. Unless idea za udini na ukanda zinaondolewa.
 
Waalianzisha harakati za ufisadi serikali ikapepesuka mpaka ikavunjwa na waziri mkuu kujiuzulu,wamekuja na maandamano nchi nzima CCM ikapepesuka,mpaka katibu mkuu kujiuzulu,CCM fumu fumu...wamevunjaaa.......ama kweli CDM chama makini...


Na bado round ya pili ya maandamano watakosa direction nakuamua kupigana wao kwa wao maana kutakuwa hakuna wakumsingizia teh! Alafu after some time pull yote ya vijana nje ya nchi wanaosoma watakuja kui back CHADEMA na experience ya sehemu zote duniani; angalia tu impact ya Kitila and the few walio rudi kwenye uwanja wa vita sehemu sehemu mziki wao ulivyomkubwa; loud and clear!

Hivi kwa mfano Dr. Kitila alivyoweza na mwenzake katika uongozi wa UDASA walioamua kuanzisha mijadala ya kitaifa watamwitaje maana ameweza kutofautisha siasa na professionalism na bado akaweza kuleta impact katika nafasi hizo independently and complimentary! Hapo CCM badala ya kutafuta watu capable wataanza campaign ya kuweka viongozi kwenye vyama vya wanataaluma universities na mwisho wa siku sote tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele; CCM change your strategies zinaigarimu taifa!
 
Back
Top Bottom