McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wake Tundu Lissu itaanza kusikilizwa kuanzia tarehe 6 Oktoba 2025 hadi 24 Oktoba, kisha kuendelea tena tarehe 3 hadi 12 Novemba 2025.
Kwa mujibu wa chama hicho, mashahidi wa upande wa Jamhuri watakuwa 30 na vielelezo vitakavyowasilishwa ni 11. CHADEMA imetoa wito kwa Watanzania kufuatilia kesi hiyo kwa umakini na kusimama na Lissu katika kudai haki na utawala wa sheria.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wake Tundu Lissu itaanza kusikilizwa kuanzia tarehe 6 Oktoba 2025 hadi 24 Oktoba, kisha kuendelea tena tarehe 3 hadi 12 Novemba 2025.
Kwa mujibu wa chama hicho, mashahidi wa upande wa Jamhuri watakuwa 30 na vielelezo vitakavyowasilishwa ni 11. CHADEMA imetoa wito kwa Watanzania kufuatilia kesi hiyo kwa umakini na kusimama na Lissu katika kudai haki na utawala wa sheria.