Wakuu kwasasa ndiyo tupo uwanjani kwenye shule ya msingi midawe kuanza rasmi mkutano wa hadhara kwaajili ya kumnadi mgombea wa udiwani wa chadema bwana Erick Samson mollel, kiukweli hali ya CCM kwasasa imekuwa mbaya sana baada ya juzi kutishia kuua kwa kutumia bastola, wakazi wa bangata kwasasa wanasema yaani bado hatujawapa madaraka wanataka kuua?
Tukiwapa sindiyo tutamalizwa kabisa na hawa CCM? Bangata hatujazoe vurugu kitendo cha CCM kupitia kwa kampeni meneja wao bosco kutoa bastola mbele za watu kimeonyesha kuwa CCM ndiyo wanaohatarisha amani ya nchi yetu.
Makamanda watakao hutubia mkutano waleo ni diwani wa sekei arusha mjini bwana chrispini tarimo, diwani wa oltitroto arumeru magharibi bwana Gibson Meseyeke, diwani wa sokoni two bwana fabiani kendo, kamanda milya, kamanda kilewo na kamanda wa m4c na mbunge aliyeko likizo arusha mjini jembe godbless lema.
Kiukweli kwa timu hii ya cdm sioni uhai wa ccm katika uchaguzi huu mdogo wa udiwani kwa hali hii ilivyo sasa.
Tukiwapa sindiyo tutamalizwa kabisa na hawa CCM? Bangata hatujazoe vurugu kitendo cha CCM kupitia kwa kampeni meneja wao bosco kutoa bastola mbele za watu kimeonyesha kuwa CCM ndiyo wanaohatarisha amani ya nchi yetu.
Makamanda watakao hutubia mkutano waleo ni diwani wa sekei arusha mjini bwana chrispini tarimo, diwani wa oltitroto arumeru magharibi bwana Gibson Meseyeke, diwani wa sokoni two bwana fabiani kendo, kamanda milya, kamanda kilewo na kamanda wa m4c na mbunge aliyeko likizo arusha mjini jembe godbless lema.
Kiukweli kwa timu hii ya cdm sioni uhai wa ccm katika uchaguzi huu mdogo wa udiwani kwa hali hii ilivyo sasa.