CHADEMA, kabla ya kudai Katiba Mpya fanyeni mabadiliko kwenye chama chenu

HAHAhaaaaaa mbowe kishatepeta kaka usijipe matumaini tena mama kamzidi ujanja wala hajatumia nguvu nyingi kama za mwanzo tulieni watu walambe asali taratiiiiibuuu
 
Kwa kuwa sukumagang manachukia maendeleo ya kupiga hatua kutoka kwenye ile awamu yenu ya mwisho March 17, kazikweni tu pale
Alipo waelekeza Zito!
 
Mbowe anapigania Uhuru wa nchi gani?

Tanganyika na Zanzibar zilishakuwa Huru na kuungana kuanzisha Jamuhuri mwaka 1964

Tanzania ni taifa Huru linalotambulika na Umoja wa Mataifa.
 
Mbowe anapigania Uhuru wa nchi gani?

Tanganyika na Zanzibar zilishakuwa Huru na kuungana kuanzisha Jamuhuri mwaka 1964

Tanzania ni taifa Huru linalotambulika na Umoja wa Mataifa.
mbowe ni muhuni tu kama walivyo wahuni wengine yaani anawadanganya watu eti anatafuta uhuru wa nchi gani
 
Hizo ni fikra Mkuu fikra za Bavicha siyo hizo, Bavicha wao wanajua Katiba Mpya itawaingiza Chadema madarakani na watapata nafasi za uongozi.

Yaaani mnaongoza harakati za kudai Katiba Mpya ya nchi wakati nyie kwenye chama chenu hakuna Haki wala demokrasia.

Mtatushawishi vipi wakati nyie wenyewe chama chenu kinaendeshwa na sauti ya mtu mmoja.
 
mbowe ni muhuni tu kama walivyo wahuni wengine yaani anawadanganya watu eti anatafuta uhuru wa nchi gani
Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka takribani 22 hawezi kutuambia anapigania ‘demokrasia’
 
Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka takribani 22 hawezi kutuambia anapigania ‘demokrasia’
halafu wanaita chama cha democrasia yaani na wafuasi nao ni viazi tu hawana akili timamu
 
wanafikiri sisi watanzania ni wajinga kiasi hicho?
 
Miaka 22 yote ni Mbowe pekee anayeweza kuwa mwenyekiti?
ccm kwenye mama wa democrasia wamesha badirisha mara mbi katika miaka hiyo kumikumi tu yeye wa mnaisha chama cha baba mkwe
 
Mbowe anapigania Uhuru wa nchi gani?

Tanganyika na Zanzibar zilishakuwa Huru na kuungana kuanzisha Jamuhuri mwaka 1964

Tanzania ni taifa Huru linalotambulika na Umoja wa Mataifa.
mbowe ni muhuni tu kama walivyo wahuni wengine yaani anawadanganya watu eti anatafuta uhuru wa nchi gani
Naona mtu mmoja mwenye ID mbil tofauti akijibizana mwenywe. Na bado MWAMBA atawatia uchizi ukoo mzima
 
Allah warrior bwana. Nani kalinganisha ni mwa-attach...-wack wock wack! Niambie ewe shujaa
Hivi kwa nini Chadema viongozi wake wakuu kwa maana ya Mwenyekiti makamu Mwenyekiti na Katibu na Katibu msaidizi bara wote wawe wa din ya upande ule.Na hivi kuna cku Chadema inaweza kumsimamisha mgombea urais asiyetoka kanisan

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mbowe anapigania Uhuru wa nchi gani?

Tanganyika na Zanzibar zilishakuwa Huru na kuungana kuanzisha Jamuhuri mwaka 1964

Tanzania ni taifa Huru linalotambulika na Umoja wa Mataifa.

Hayo ni majibu ya kizee. Watanganyika na wazanzibar hawakuelewi. Kwani katiba ya Warioba inasema je kuhusu kifungu hicho?
 
KUBALINI UKWELI CHADEMA FANYENI MAREKEBISHO YA KATIBA YENU KWANZA
katiba mpya si kwa ajili ya chama ni kwa ajili ya wananchi kama chama kina matatizo yake basi ndo wapinzani wake wachukue kama point kwenye uchaguzi. Kama ccm inaona chadema haipo vizuri basi ijipatie point kupitia huo udhaifu lakini suala la katiba mpya ibaki kuwa takwa la wananchi kwakuwa wapo pia wana ccm wanaotaka katiba mpya nao unawaambiaje?
 
ALIYEKWAMBIA TAKWA LA WANANCHI NI NANI
? MBONA CHADEMA PEKEYAO NDIYO WANALISHIKIA BANGO? SEMA TU HIYO NI AGENDA YA CHADEMA NA SIYO WANANCHI MBOAN MIMI SIITAKI?
 
CHADEMA wafanye mabadiliko yote ila kumtoa Mbowe kwenye uenyekiti kwa sasa watajiharibia. Hata kama CHADEMA ni chama mfu bado Mbowe anafaa kuwa mwenyekiti. Kuhusu ofisi wajitahidi kujenga ingawa kuwa na ofisi nzuri bila sera za kueleweka ni upumbavu pia. Chama ni wanachama sio ofisi nzuri. Wapambane kuongeza idadi ya wanachama.

Ushauri wangu kwa chama cha Mbowe ni kuishi kama wanademokrasia na sio kumtukana yeyote atakaekuwa na maoni tofauti na wao. Au mtu akikihama chama chao basi hutukanwa mno. Jitahidini kutopoteza wanachama. Ongezeni idadi na mruhusu uhuru wa kutoa maoni. Pia msiwe kama familia ya kambale. Awepo msemaji mmoja kutoa matamko ya chama tofauti na sasa hivi kila kiongozi ni msemaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…