Unajidai hujamsikia katibu wako wa chama akilalamikia chaguzi fake mnazo endesha? Anasema haukna chaguzi CCM walizo shinda zaidi ya 35% kwa hiyo nyie mlio tumwa kuja kujipigia debe huku mitandaoni MNAJIFARIJI lakini wananchi wamewakataa ccm na mnalijua hilo...