kwa iyo mimi na wenzangu hapa ni WANYARWANDA.
Tatizo la CCM ni shule! Hata reasoning capacity ndogo hawana! wewe tafakari - CCM ili kuwa inatetea viti 28 and CDM viti 2 tu lakini katika uchaguzi CDM ikapata viti 5 and CCM kupoteza 6 na kupata 22 tu. sasa katika ya CDM and CCM nani alipoteza?????? CCM tatizo hawana shule na ndiyo maana wanamwona hata Lowasa anafaa kwa vile ana ka-dree kamoja nako kakupepea! Ni nani CCM anayetaka kugombea urais mwenye shule? Tafakari