- Thread starter
- #21
Kikao cha Makamishina wa Polisi kilichokuwa chini ya DCI kimemalizika na kuazimia kuwa leo LwKatare hawezi kufikishwa mahakamani kwani mpaka sasa hakuna ushahidi wa dhahiri wa kufanya hivyo , badala yake wanaendelea kutafuta ushahidi na wataenda mpaka Bukoba kupekua nyumba yake , wanachoenda kutafuta huko hakijulikani kwani huko kwa mwaka anakaa mara chache sana, Chadema jiandaeni ...........Adious .....