CHADEMA, Jipangeni na mpango huu wa serikali na vyombo vyake

Haki sawa

JF-Expert Member
Oct 3, 2007
4,780
3,208
Mtakumbuka kuwa mnamo siku ya jumatatu tarehe 11.03.2013 Mwenyekiti Mbowe akiwa Musoma alitangaza rasmi tarehe ya kufanyika kwa maandamano makubwa ya kuisimamisha nchi kwa siku nzima yaani tarehe 25.03.2013 ambayo yatahusisha Majiji ya Dsm, Arusha, Mbeya na Mwanza , ambayo yatakuwa na lengo lla kumshinikiza waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa na Naibu wake wajiuzulu kutokana na matokeo mabaya ya wanafunzi wa kidato cha nne ambao walifeli zaidi ya asilimia 95.

Aidha baada ya tahere hiyo kutangazwa na kutokana na umuhimu wa siku hiyo kwa taifa kuwa ni siku ambayo Rais wa China atakuja nchini mwetu ikiwa ni ziara yake ya pili tangu aapishwe kwenda nje ya nchi na ni ziara ambayoatakuja kusaini mikataba kumi na moja , pia anategemewa kutoa hotuba kwa ulimwengu kuhusu mwelekeo wa sera za China kwa Afrika siku hiyo na hotuba hiyo itakuwa ikirushwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari ulimwenguni kama ,BBC, CCTV,CNN na Aljazeera NA vinginevyo , kikao kizito cha idara kilichofanyika siku ya jumanne kiliazimia kuwa video ya Lwakatare iwekwe kwenye mtandao kwa lengo la kuhamisha mjadala na maandalizi ya Maandamano ya CDM ili wanadiplomasia na mashushushu kutoka China ambao wapo nchini kwa ajili ya maandalizi kuwepo tangu tarehe 03.02.2013 ambao wapo wasione kuwa kuna tishio la maandamano , ili wasije wakaahirisha ziara ya rais huyo ambayoni ya umuhimu mkubwa kwa china na msimamo wake kuhusu Afrika .

Mkakati huo ulipangwa licha ya kuwa utengenezaji wa video hiyo ulikuwepo na kujulikana tangu mweziJanuary 2013 na Denis MSacky alifungua jalada polisi kuhusiana na mkanda huo na pia alipewa ulinzi na waziri wa mambo ya ndani , mpaka leo amepewa askari kanzu ambaye anafanya naye shughuli kama dereva wake tangu mwezi Januari , mliokuwa mnafahamu maisha yake kabla ya hapo mtakuwa mmejua jambo, na hata juzi wakiwa Beach Comber hoteli kwenye inhouse training hilo alilisema mbele ya waandishi wenzake na mabosi wao waliokuwepo.

Chadema jipangeni kwani mkakatiwa idara ndio huo juu yenu,

Kwa kuwa nimewaeleza nyie Chadema mambo haya ya ndani, na juzi niliwaeleza kuhusu maelekezo ya Zoka kwa Kova kuhusu Lwakatare na hamkuonekana kuchukua tahadhari mapema , ni vyema mkajua maandamano mliyokuwa mmetangaza yalijadiliwa sana na kama mkijipanga Kawambwz na Mulugo wanaondoka ili kunusura Taifa na aibu iliyoko mbele , hasa ukizingatia mikataba itakayotiwa saini ipo tayari........wenye kumbukumbu kumbukeni tuhuma zilizozagaa za mtoto wa Kigogo kukamatwa China........
 
Mkakati huo ulipangwa licha ya kuwa utengenezaji wa video hiyo ulikuwepo na kujulikana tangu mwezi January 2013 na Denis MSacky alifungua jalada polisi kuhusiana na mkanda huo na pia alipewa ulinzi na waziri wa mambo ya ndani , mpaka leo amepewa askari kanzu ambaye anafanya naye shughuli kama dereva wake tangu mwezi Januari , mliokuwa mnafahamu maisha yake kabla ya hapo mtakuwa mmejua jambo, na hata juzi wakiwa Beach Comber hoteli kwenye inhouse training hilo alilisema mbele ya waandishi wenzake na mabosi wao waliokuwepo.

Chadema jipangeni kwani mkakatiwa idara ndio huo juu yenu,
Haki sawa:high5::yo::yo::yo::yo:
 
Last edited by a moderator:
....si hiyo tu...hata hii ya juzi ya waziri wa ulinzi kuwaadhibu polisi waliobambika kesi watu imefanyika strategically......inajulikana sana polisi wanabambika watu kesi tz...lakini imekuja juzi tu kwa waizri kuwatangazia Watanzania adhabu hii kwa polisi kipindi hiki...ambapo kuna kelele nyingi za watu kudhuriwa na vyombo vya dola.....Mbaya zaidi ni paradox iliyopo sasa kwa hivi vyombo vya ulinzi tz....kwamba wanajifanya wanashughulikia matatizo...wakati huo huo wanaongeza matatizo....Unawaadhibu polisi kubambika kesi...wakati huo huo hao hao polisi wanabambika wengine kesi(refer the Lwakatare saga (though unconfirmed)).......​Inauma...
 
Hata mie nilipata mashaka na eti police wameanza kujisafisha,kuna kitu hapo ..kwanini wasianze na Iringa,Arusha na Moro?
 
Haya ni maneno ya Membe, kama yeye hana genge, hana kundi hilo na hana fedha , ni nani mwenye genge na fedha za kuwatesa watu hapa Tanzania ? Anaonekana kumfahamu mtu mwenye genge .......aitwe kusaidia Polisi , niliandika juzi kuhusu ziara yake Morocco na Zoka aseme walienda kupanga nini

Kama hajagombana na Kibanda amegombana na nani na huyo waliyegombana naye ameshammaliza ama bado , tutarajiemtu mwingine kuumia kwa sababu ana ugomvi naye ?ina maana kila anayegombananaye huwa anaumizwa ...,,,,,,,,,,chambueni kauli hizi .......

“Sina nia, genge wala fedha za kufanya shughuli kama hiyo. Katika maisha yangu yote, sijawahi kugombana naye (Kibanda) na hajawahi kunifanyia ubaya wowote. Kwa kifupi sina uhasama na Kibanda.”
 
Hata mie nilipata mashaka na eti police wameanza kujisafisha,kuna kitu hapo ..kwanini wasianze na Iringa,Arusha na Moro?

Hapo kuna mkakati wa kumjenga Nchimbi kuwa anaweza kuchukua hatua ,,.......mkakati huu ni wa kumpanga kwani inavyoonekana ni kuwa Lowassa amejengwa kuwa ndio kiongozi pekee ndani ya CCM ambaye anauwezo wa kuchukua hatua .......hapa anajengewa taswira ....ila wapo waliofungua kesi na watamshinda hizo kesi mahakamani ......ataumbuka ......time tuu........
 
Huyu Dennis Msacky ndiye nani?

Mahariri mtendaji wa gazeti la mwananchi ..ambaye inasemekana kuwa yeye ndio alikuwa adhuriwe kulingana na hiyo video iliyowekwa baada ya kutengenezwa ..........mambo ni makubwa kuliko mnavyoweza kufikiria .......
 
ndipo utapojua watanzania wenye kupenda nchi yao ,hakuna kubakisha kitu ,ndipo watajiju maandamano pale pale kulinusuru taifa
 
Mahariri mtendaji wa gazeti la mwananchi ..ambaye inasemekana kuwa yeye ndio alikuwa adhuriwe kulingana na hiyo video iliyowekwa baada ya kutengenezwa ..........mambo ni makubwa kuliko mnavyoweza kufikiria .......
ni mhariri mtendaji wa mwananchi rafiki yake sana Zitto Kabwe aliyeaapa kumlinda maisha yake sasa muangalie trend hiyo connect na masalia nchi hii bwana tunazunguka pale pale
 
DR. SLAA. Ndugu Waandishi,CHADEMA haiko tayari kuruhusu watu wenye maslahi binafsi kutuchafua mbele ya jamii. Katika hilo, tutapambana na yoyote bila kujali cheo chake, madaraka yake serikalini, fedha alizonazo au madaraka mengine.

MY STANCE:
KAMA HUNA VYOMBO VYA DOLA, JESHI, MAHAKAMA, POLISI, MAGEREZA N.K UNAPAMBANA KWA NJIA GANI KAMA SI KUNYAMAZISHA WATU KWA KUWATESA NA KUWAUA??

KWA KAULI HIYO YA DR. SLAA HIVI WATANZANIA HATUONI KAMA DR. SLAA YUPO NYUMA YA LWAKATARE?? KWA NINI VYOMBO VYA DOLA HAVIMKAMATI KWA KUANDAA MAUAJI???

NAAMINI ILE VIDEO CLIP YA LWAKATARE NI YA KWELI. NDIO MAANA WAKATI ANAPANGA MIKAKATI MACHOZI YANAMTOKA. KAPEWA MAAGIZO AMBAYO LAZIMA AYATEKELEZE LAKINI NAFSI INAMSUTA KWA KUHUJUMU HAKI YA MTU.
 
Haya ni maneno ya Membe, kama yeye hana genge, hana kundi hilo na hana fedha , ni nani mwenye genge na fedha za kuwatesa watu hapa Tanzania ? Anaonekana kumfahamu mtu mwenye genge .......aitwe kusaidia Polisi , niliandika juzi kuhusu ziara yake Morocco na Zoka aseme walienda kupanga nini

Kama hajagombana na Kibanda amegombana na nani na huyo waliyegombana naye ameshammaliza ama bado , tutarajiemtu mwingine kuumia kwa sababu ana ugomvi naye ?ina maana kila anayegombananaye huwa anaumizwa ...,,,,,,,,,,chambueni kauli hizi .......

"Sina nia, genge wala fedha za kufanya shughuli kama hiyo. Katika maisha yangu yote, sijawahi kugombana naye (Kibanda) na hajawahi kunifanyia ubaya wowote. Kwa kifupi sina uhasama na Kibanda."

Inaelekea Membe ndio Usalama wa taifa maassasin ni wa kumwogopa kama ukoma mtu bila aibu aende kwenye public television na kuapiza atakapo kuwa Raisi wabaya wake 11 watamkoma au atawamaliza halafu mtu kama huyo anaendelea kukalia ofisi nyeti kama anayoongoza,
ndugu zangu watanzania tusiposimamisha hiki kikundi cha mamafia waliojimilikisha pande la ardhi la Tanzania na watu wake wote wakiwafanya watakavyo basi tujue tumekwisha moja kwa moja
gendge hili linapaswa kutokomezwa kabla kiza cha masaibu kwenye nchi yetu kuendelea kuingia
 
DR. SLAA. Ndugu Waandishi,CHADEMA haiko tayari kuruhusu watu wenye maslahi binafsi kutuchafua mbele ya jamii. Katika hilo, tutapambana na yoyote bila kujali cheo chake, madaraka yake serikalini, fedha alizonazo au madaraka mengine.

MY STANCE:
KAMA HUNA VYOMBO VYA DOLA, JESHI, MAHAKAMA, POLISI, MAGEREZA N.K UNAPAMBANA KWA NJIA GANI KAMA SI KUNYAMAZISHA WATU KWA KUWATESA NA KUWAUA??

KWA KAULI HIYO YA DR. SLAA HIVI WATANZANIA HATUONI KAMA DR. SLAA YUPO NYUMA YA LWAKATARE?? KWA NINI VYOMBO VYA DOLA HAVIMKAMATI KWA KUANDAA MAUAJI???

NAAMINI ILE VIDEO CLIP YA LWAKATARE NI YA KWELI. NDIO MAANA WAKATI ANAPANGA MIKAKATI MACHOZI YANAMTOKA. KAPEWA MAAGIZO AMBAYO LAZIMA AYATEKELEZE LAKINI NAFSI INAMSUTA KWA KUHUJUMU HAKI YA MTU.

Jibu ni kwamba silaha kubwa ya kutumia ni kupeleka kesi kwenye mahakama za umma basi na wao ndio waamuzi wawafanye nini viongozi wa serikali mumiani wa haki za watu ,dhuluma ya mali za wananchi na wakiukaji wa haki za wananchi na huku wakifanya kila waliwezalo kuziba sauti za wanyonge
 
Mahariri mtendaji wa gazeti la mwananchi ..ambaye inasemekana kuwa yeye ndio alikuwa adhuriwe kulingana na hiyo video iliyowekwa baada ya kutengenezwa ..........mambo ni makubwa kuliko mnavyoweza kufikiria .......

Motive ya kumdhuru ni nini? Nani ambaye atafaidika katika kudhuriwa kwake? Na kwa vipi? Hayo ni maswali ya msingi ya kujiuliza!
 
DR. SLAA. Ndugu Waandishi,CHADEMA haiko tayari kuruhusu watu wenye maslahi binafsi kutuchafua mbele ya jamii. Katika hilo, tutapambana na yoyote bila kujali cheo chake, madaraka yake serikalini, fedha alizonazo au madaraka mengine.

MY STANCE:
KAMA HUNA VYOMBO VYA DOLA, JESHI, MAHAKAMA, POLISI, MAGEREZA N.K UNAPAMBANA KWA NJIA GANI KAMA SI KUNYAMAZISHA WATU KWA KUWATESA NA KUWAUA??

KWA KAULI HIYO YA DR. SLAA HIVI WATANZANIA HATUONI KAMA DR. SLAA YUPO NYUMA YA LWAKATARE?? KWA NINI VYOMBO VYA DOLA HAVIMKAMATI KWA KUANDAA MAUAJI???

NAAMINI ILE VIDEO CLIP YA LWAKATARE NI YA KWELI. NDIO MAANA WAKATI ANAPANGA MIKAKATI MACHOZI YANAMTOKA. KAPEWA MAAGIZO AMBAYO LAZIMA AYATEKELEZE LAKINI NAFSI INAMSUTA KWA KUHUJUMU HAKI YA MTU.
na vipi mh. Membe?
 
Back
Top Bottom