Mtakumbuka kuwa mnamo siku ya jumatatu tarehe 11.03.2013 Mwenyekiti Mbowe akiwa Musoma alitangaza rasmi tarehe ya kufanyika kwa maandamano makubwa ya kuisimamisha nchi kwa siku nzima yaani tarehe 25.03.2013 ambayo yatahusisha Majiji ya Dsm, Arusha, Mbeya na Mwanza , ambayo yatakuwa na lengo lla kumshinikiza waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa na Naibu wake wajiuzulu kutokana na matokeo mabaya ya wanafunzi wa kidato cha nne ambao walifeli zaidi ya asilimia 95.
Aidha baada ya tahere hiyo kutangazwa na kutokana na umuhimu wa siku hiyo kwa taifa kuwa ni siku ambayo Rais wa China atakuja nchini mwetu ikiwa ni ziara yake ya pili tangu aapishwe kwenda nje ya nchi na ni ziara ambayoatakuja kusaini mikataba kumi na moja , pia anategemewa kutoa hotuba kwa ulimwengu kuhusu mwelekeo wa sera za China kwa Afrika siku hiyo na hotuba hiyo itakuwa ikirushwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari ulimwenguni kama ,BBC, CCTV,CNN na Aljazeera NA vinginevyo , kikao kizito cha idara kilichofanyika siku ya jumanne kiliazimia kuwa video ya Lwakatare iwekwe kwenye mtandao kwa lengo la kuhamisha mjadala na maandalizi ya Maandamano ya CDM ili wanadiplomasia na mashushushu kutoka China ambao wapo nchini kwa ajili ya maandalizi kuwepo tangu tarehe 03.02.2013 ambao wapo wasione kuwa kuna tishio la maandamano , ili wasije wakaahirisha ziara ya rais huyo ambayoni ya umuhimu mkubwa kwa china na msimamo wake kuhusu Afrika .
Mkakati huo ulipangwa licha ya kuwa utengenezaji wa video hiyo ulikuwepo na kujulikana tangu mweziJanuary 2013 na Denis MSacky alifungua jalada polisi kuhusiana na mkanda huo na pia alipewa ulinzi na waziri wa mambo ya ndani , mpaka leo amepewa askari kanzu ambaye anafanya naye shughuli kama dereva wake tangu mwezi Januari , mliokuwa mnafahamu maisha yake kabla ya hapo mtakuwa mmejua jambo, na hata juzi wakiwa Beach Comber hoteli kwenye inhouse training hilo alilisema mbele ya waandishi wenzake na mabosi wao waliokuwepo.
Chadema jipangeni kwani mkakatiwa idara ndio huo juu yenu,
Kwa kuwa nimewaeleza nyie Chadema mambo haya ya ndani, na juzi niliwaeleza kuhusu maelekezo ya Zoka kwa Kova kuhusu Lwakatare na hamkuonekana kuchukua tahadhari mapema , ni vyema mkajua maandamano mliyokuwa mmetangaza yalijadiliwa sana na kama mkijipanga Kawambwz na Mulugo wanaondoka ili kunusura Taifa na aibu iliyoko mbele , hasa ukizingatia mikataba itakayotiwa saini ipo tayari........wenye kumbukumbu kumbukeni tuhuma zilizozagaa za mtoto wa Kigogo kukamatwa China........
Aidha baada ya tahere hiyo kutangazwa na kutokana na umuhimu wa siku hiyo kwa taifa kuwa ni siku ambayo Rais wa China atakuja nchini mwetu ikiwa ni ziara yake ya pili tangu aapishwe kwenda nje ya nchi na ni ziara ambayoatakuja kusaini mikataba kumi na moja , pia anategemewa kutoa hotuba kwa ulimwengu kuhusu mwelekeo wa sera za China kwa Afrika siku hiyo na hotuba hiyo itakuwa ikirushwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari ulimwenguni kama ,BBC, CCTV,CNN na Aljazeera NA vinginevyo , kikao kizito cha idara kilichofanyika siku ya jumanne kiliazimia kuwa video ya Lwakatare iwekwe kwenye mtandao kwa lengo la kuhamisha mjadala na maandalizi ya Maandamano ya CDM ili wanadiplomasia na mashushushu kutoka China ambao wapo nchini kwa ajili ya maandalizi kuwepo tangu tarehe 03.02.2013 ambao wapo wasione kuwa kuna tishio la maandamano , ili wasije wakaahirisha ziara ya rais huyo ambayoni ya umuhimu mkubwa kwa china na msimamo wake kuhusu Afrika .
Mkakati huo ulipangwa licha ya kuwa utengenezaji wa video hiyo ulikuwepo na kujulikana tangu mweziJanuary 2013 na Denis MSacky alifungua jalada polisi kuhusiana na mkanda huo na pia alipewa ulinzi na waziri wa mambo ya ndani , mpaka leo amepewa askari kanzu ambaye anafanya naye shughuli kama dereva wake tangu mwezi Januari , mliokuwa mnafahamu maisha yake kabla ya hapo mtakuwa mmejua jambo, na hata juzi wakiwa Beach Comber hoteli kwenye inhouse training hilo alilisema mbele ya waandishi wenzake na mabosi wao waliokuwepo.
Chadema jipangeni kwani mkakatiwa idara ndio huo juu yenu,
Kwa kuwa nimewaeleza nyie Chadema mambo haya ya ndani, na juzi niliwaeleza kuhusu maelekezo ya Zoka kwa Kova kuhusu Lwakatare na hamkuonekana kuchukua tahadhari mapema , ni vyema mkajua maandamano mliyokuwa mmetangaza yalijadiliwa sana na kama mkijipanga Kawambwz na Mulugo wanaondoka ili kunusura Taifa na aibu iliyoko mbele , hasa ukizingatia mikataba itakayotiwa saini ipo tayari........wenye kumbukumbu kumbukeni tuhuma zilizozagaa za mtoto wa Kigogo kukamatwa China........