CHADEMA Jimbo la Kinondoni Lazizima

CHADEMA Jimbo la Kinondoni Lazizima

Hicho kistoo ndio kinatumika kama ofisi?

2.jpg
 
Ama kwel chama langu la zamani linapumlia mashine... cheki ofisi ya mkoa kinondoni ilivokaakaa najiuliza mikoani huko pako hali gani?

Na jitu zima unalikuta eti lemenga'ang'ana lipewe mshahara wa mbunge...
YAKO BUSY KUFANYA FITINA ILI YABAKI MADARAKANI BADALA YA KUFANYA MAENDELEO YA CHAMA.
 
Makamanda poa sana lakini hakuna kulala ushindi bado,tokeni ofisni mkawaandikishe vijana na kuwapa kadi za chama,ili mpaka 2015 tuwe na wanachama 10,000,000.
 
Mungu wangu kumbe hapa wako ofisi za chama mkoa? Kwani zile helkopita huwa zinatuwa wapi?
Hawa jamaa wakichunguzwa huenda hapo ofisini wanauzia bhangi au gongo.
 
Makamanda wajitokeza kwa wingi kurudisha fomu za kugombea nafasi za uongozi katika Jimbo la Kinondoni hapo jana. Nawasilisha


attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php


Ka-chumba kama haka eti ndo wanataka waratibu katiba mpya kwa kusingizia maoni ya wananchi... ni hataaaare kwelikweli
 
( Sorry, ni off topic: Hivi humu JF hamna CUF, mbona naona wanaokabana koo ni CHADEMA na CCM pekee)?
 
heri cdm yenye fremu kuliko ccm ambayo uchunguzi unabainisha kwamba haijawahi kujenga ofisi nchi hii bali imepora majengo ya umma .

hivi ni ofisi gani ccm imejenga yenyewe bila kodi za wananchi kuanzia mwaka 1954 hadi 1992?
 
Back
Top Bottom