babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Na hili ndio tatizo la bavicha. Wanapofahamishwa jambo na kuona wao ndio wakosaji,huwa wanatukana. Badala ya kuupokea ushauri huo na kuwashauri wale wafalme wao,wanaishia kutukana na kulalamaUkiona povu basi ujumbe umepenya hadi kunako😀
duh.....Walinzi hupewa watu wenye roho zakikatili only like magufuli,bashite and nowdayz lipumba .........
Serikali haiendeshwi na hela za CCM mkuu.....Kodi ni Watanzania wote wanachanga,usifikiri ni hela za ccmLeo hii wanaituhumu na kuitukana selikali kwamba inahusika.,lkn utashangaa siku Lisu akipona wanaomba ulinzi toka selikalini.
......
okay endeleeni kukaa uchi sasa.Ulinzi wa raia sio jukumu la chadema ni la jeshi la polisi ambao wanalipwa kwa kodi za wananchi wa vyama na dini zote
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo ulitaka polisi wawemo kwenye gari la lissu wakimlinda? hebu elewa kinachosemwa na mleta maada.Kazi ya polisi ni KULINDA KILA RAIA bila kujali itikadi yake.
Polisi hawatakiwi kuwa na chama, ila hapa kwetu wana vyama.
Ni sawa na referee. Hatakiwi kuwa na timu, japo nao wana timu zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
mnazidiwa mpaka na diamond na Gwajima.Ukiojua kuwa hujui kitu usilazimishe kuchangia pumba. Ulinzi na usalama wa raia wa Tanzania na Mali zake. Umewekwa mikononi mwa jeshi la polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shame on you too kwa sababu hata Rais Kennedy wa Marekani au PM Yitzak Rabin wa Israeli waliuawa licha ya kuwa na ulinzi wa hali ya juu. Ulinzi kwa kiongozi ni deterrence tu, lakini sio absolutely 100% foolproof against assassinationNyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.
Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.
Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.
Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?
Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.
Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.
Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!
Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.
Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.
Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.
Shame on you.
Shame on you too kwa sababu hata Rais Kennedy wa Marekani au PM Yitzak Rabin wa Israeli waliuawa licha ya kuwa na ulinzi wa hali ya juu. Ulinzi kwa kiongozi ni deterrence tu, lakini sio absolutely 100% foolproof against assassination
Unapoilaumu Chadema kwa kutompatia ulinzi Lissu unaonyesha kuwa huna uelewa japo kidogo kuhusu ulinzi wa viongozi nchini Tanzania. Kuna tofauti kubwa kati ya mlinzi wa Diamond na specialist wa personal protection. Why don't you blame the government ambayo ndo pekee inayoweza kumpatia Lissu ulinzi stahili (na sio wa kufikirika unaoongelea hapa)? Next time, jielimishe kwanza kabla ya kukurupuka kulaumu.
Halafu hata kama taratibu zingekuwa rahisi, je ungechangia gharama za ulinzi wa masaa 24 ya kiongozi huyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.
Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.
Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.
Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?
Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.
Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.
Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!
Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.
Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.
Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.
Shame on you.
Hili chini ni bandiko lako kipindi kile ungosha haujakuathiri:
Hivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?
Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.
Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini kuna mengine yenye ukakasi sana hadi kunifanya nianze kuhoji hekima na busara za huyo bwana!
---
Mimi ni mmoja wa watu wanaoamini kuwa rais wetu huyu, mheshimiwa mtukufu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli si kiongozi mzuri hata kidogo, hususan katika ngazi ya urais.
Hilo nimekuwa nikilisema kwa muda mrefu sasa. Nakumbuka hata ile siku alipoteuliwa kuipeperusha bendera ya CCM nilisema hivyo humu humu JF.
Kwa kiasi fulani namkubali kwenye usimamizi lakini si kwenye uongozi. Hana kabisa haiba ya kiuongozi. Pia hana sifa za kuweza kuwa kiongozi mzuri.
Ni mtu mwenye jazba. Ana jeuri. Mwenye kuongea bila kufikiria athari za maneno yake[nyakati zingine]. Wengine wanasema eti kuwa hashauriki. Kwa ufupi ni mengi sana yanasemwa juu yake kiasi kwamba mengine ni vigumu kwa watu wa mbali kama sisi kujua kama ni ya kweli au la. Hivyo kwa sisi wa mbali tunaenda na yale tuyaonayo na tuyasikiayo toka kwake yeye mwenyewe.
Sasa kwa jinsi vile mambo yanavyoenda sasa hivi kuna kila dalili huenda nchi imeshamshinda kuiongoza. Hivyo ndivyo niuonavyo mwelekeo.
Hata ndani ya chama chake ukiangalia vizuri utaona nyuso nyingi tu za manung'uniko toka kwa wakereketwa. Wengi wao siku hizi wanashindwa hata kumtetea. Wapo kimyaaaa utadhani wagonjwa. CCM hawana furaha kabisa.
Naamini asipojiangalia na kujifanyia tathmini basi hiyo kazi itamshinda kabla hata hajafikia nusu ya muhula wa hii miaka mitano.
Niliwahi kuandika kuhusu 'a police state'. Jikumbushe....
Inawezekana sijaelewa lakini angalao mimi nafikiria nje ya ukabila! Wewe unachosupport ni ungosha lakini unajua kabisa jamaa nchi ilimshinda siku ya kwanza alipoingia ofisini!Hakuna nilichobadilika.
Msimamo wangu upo palepale.
Tatizo ni nyie. Ni nyie mnaodhani na kuchukulia mambo katika rangi mbili tu.
Hamuwezi ku process nuance.
Ushabiki wenu umeghubika kabisa hata hizo akili zenu chache mlonazo.
Hizo akili zenu zinawatuma muamini kuwa huwezi kukubaliana na mtu kwa kiasi fulani na ukatofautiana naye kwa kiasi fulani.
Kwenu kama unatofautiana na mtu basi ni lazima iwe kwa asilimia 100 na kama unakubaliana naye basi ni lazima iwe kwa asilimia 100.
Baada ya hayo machache, nina mashaka sana hata kama umeelewa nilichokiandika.
Natanguliza pole zangu.....
Walau wewe una uelewa wa mambo kwa kiasi flani. Husukumwi tu na hisia za kiushabiki.
Lissu ni mwanasiasa high profile nchini.
Tayari alishahisi anawindwa.
Sielewi kwa nini CHADEMA hawakuwa proactive kwenye suala la ulinzi wake.
Kuhusu ulinzi kuwa ni wa juu Dodoma...look...inapokuja kwenye suala la ulinzi you don't take anything for granted.
Hata POTUS akiwa kwenye Oval office secret service huwa wapo futi chache kutoka alipo yeye.
Hata wao kwa wao huwa wanaangaliana kwa sababu ishawahi kutokea viongozi kuuwawa na walinzi wao wenyewe....rejea Indira Gandhi na Laurent Kabila.
Inawezekana sijaelewa lakini angalao mimi nafikiria nje ya ukabila! Wewe unachosupport ni ungosha lakini unajua kabisa jamaa nchi ilimshinda siku ya kwanza alipoingia ofisini!
PpHili chini ni bandiko lako kipindi kile ungosha haujakuathiri:
Hivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?
Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.
Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini kuna mengine yenye ukakasi sana hadi kunifanya nianze kuhoji hekima na busara za huyo bwana!
---
Mimi ni mmoja wa watu wanaoamini kuwa rais wetu huyu, mheshimiwa mtukufu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli si kiongozi mzuri hata kidogo, hususan katika ngazi ya urais.
Hilo nimekuwa nikilisema kwa muda mrefu sasa. Nakumbuka hata ile siku alipoteuliwa kuipeperusha bendera ya CCM nilisema hivyo humu humu JF.
Kwa kiasi fulani namkubali kwenye usimamizi lakini si kwenye uongozi. Hana kabisa haiba ya kiuongozi. Pia hana sifa za kuweza kuwa kiongozi mzuri.
Ni mtu mwenye jazba. Ana jeuri. Mwenye kuongea bila kufikiria athari za maneno yake[nyakati zingine]. Wengine wanasema eti kuwa hashauriki. Kwa ufupi ni mengi sana yanasemwa juu yake kiasi kwamba mengine ni vigumu kwa watu wa mbali kama sisi kujua kama ni ya kweli au la. Hivyo kwa sisi wa mbali tunaenda na yale tuyaonayo na tuyasikiayo toka kwake yeye mwenyewe.
Sasa kwa jinsi vile mambo yanavyoenda sasa hivi kuna kila dalili huenda nchi imeshamshinda kuiongoza. Hivyo ndivyo niuonavyo mwelekeo.
Hata ndani ya chama chake ukiangalia vizuri utaona nyuso nyingi tu za manung'uniko toka kwa wakereketwa. Wengi wao siku hizi wanashindwa hata kumtetea. Wapo kimyaaaa utadhani wagonjwa. CCM hawana furaha kabisa.
Naamini asipojiangalia na kujifanyia tathmini basi hiyo kazi itamshinda kabla hata hajafikia nusu ya muhula wa hii miaka mitano.
Niliwahi kuandika kuhusu 'a police state'. Jikumbushe....