Mjukuu wa Sechenga
Member
- Nov 13, 2015
- 34
- 37
Aliyasema hayo wasira leo yuko wapi?dua zako mbaya ni neema kwa wana cdm kuzidi kusonga na kung'araKutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.
Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.
Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;
1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.
2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.
Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.
Kutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.
Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.
Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;
1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.
2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.
Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.
Kweli mtoa hoja ni hoja nzuri lakini usiseme kuwa kitakufa ila kitaimarika zaidi.kwani watu wa cdm wanaamini kuwa bila ya wao yasingefanyika baadhi ya mambo mazuri yanayofanya sasa.nampongeza jpm kwa usikivu wake na kutekeleza yale aliyaadidi.pia nategemea kuwa upinzani waendele na kuikumbusha serikari
Ameeenaaaaaaaaaa Ameeeeeen mkuu na cdm hatulali hadi taifa linapata nafasi ya kugawana sawa kekiHakika kuna watu wanapenda sana kuongea kwa nyuma huku mbele kukiwashinda. unapomlaani mpinzani wako ili afe sasa unadhani hiyo mechi utacheza we na sangazi yako????????????????
Ukweli ni kwamba watakufa wooote wailaanio CDM lakini yenyewe haitakufa kamwe kwa maana haina unafiki kama wao.
Wanaoilaani watalaaniwa na watakaoibariki tayaari wameshabarikiwa.
Ole wao waineneayo mabaya, siku ikifika watabaki midomi wazo wakiiona ikidunda nao wakibaki kua walewale na unafiki wao uliopitiliza. Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki UKAWA na makamanda wote.
Ni kweli ilshakufa maana kabla ya lowasa cdm ilikuwa na wabunge 40 lkn baada ya kumkaribisha lowasa ndani ya cdm leo ina wabunge 70Chadema ilishakufa toka August 2015 walivyomchukua EL na kuzikwa rasmi tar 25 October
Na ruzuku imeongezekaNi kweli ilshakufa maana kabla ya lowasa cdm ilikuwa na wabunge 40 lkn baada ya kumkaribisha lowasa ndani ya cdm leo ina wabunge 70
kama una mali andika urithi haraka sana , ushahidi unaonyesha wazi kabisa kwamba ukiichulia kifo chadema humalizi wiki mbili , mifano ni mingi , usicheze na Mungu mjomba , ni vema ukachagua na kiwanja kabisa , kisutu , chang'ombe , kinondoni au tukupeleke kwenu ?Kutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.
Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.
Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;
1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.
2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.
Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.
ccm ni wabaguzi sana , kati ya vijana 10000 eti wamechagua 46 tu ! sasa hao zaidi ya 9000 tutawapeleka wapi ?na wewe ni miongoni mwa wale 46 au
Hiki kifo cha chadema ni tofauti na vifo vingine aisee!!mana kufa kwetu kunasababisha idadi ya wabunge wa ukawa kuongezeka!!what a surprise!!na wabunge Wa ccm wanaotutabiria vifo vya kisiasa wenyewe wanazidi kuimarika(wassira)!tunahitaji vifo zaidi!hahahahaChadema ilishakufa toka August 2015 walivyomchukua EL na kuzikwa rasmi tar 25 October