William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Ata CHADEMA TUMEGAWANYWA.
Hakuna wanachadema tena bali washabiki wa zitto wanaohasimiana na Mbowe.
Na hapa mpaka mshindi apatikane.
Vipi ivi hakuna mbinu ya kukiunganisha chama na kujadili na kuondoa kabisa mivutano.
Je kama imeshindikana kuondoa tu migogoro midogo hii ndani ya chama vipi tutaamini mtaweza kuwatatulia matatizo lundo ya watanzania
Hakuna wanachadema tena bali washabiki wa zitto wanaohasimiana na Mbowe.
Na hapa mpaka mshindi apatikane.
Vipi ivi hakuna mbinu ya kukiunganisha chama na kujadili na kuondoa kabisa mivutano.
Je kama imeshindikana kuondoa tu migogoro midogo hii ndani ya chama vipi tutaamini mtaweza kuwatatulia matatizo lundo ya watanzania