CHADEMA itadumazwa na ZITTO vs MBOWE.

CHADEMA itadumazwa na ZITTO vs MBOWE.

Labda tuangalie kwa jicho tofauti, siasa ya Tanzania bado changa na mizizi yake bado ni laini, lakini pia chama tawala hakijaridhia upinzani kuimarika na kushamiri.

Viongozi wa upinzani wanahitaji kuwa makini na imara hata ikibidi kuweka msimamo binafsi mbele.
Vyama vya upinzani na viongozi wake wanafanya kazi kwa nguvu zao binafsi, marafiki na wahisani ruzuku ikichukua sehemu ndogo sana.

Ikumbukwe upinzani unafanya kazi nchi nzima na kujitahidi kumfikia kila mtanzania jamo ambalo hata serikali haiwezi. Tusitafsiri vibaya na kwa haraka maslahi ya viongozi wa upinzani ila tuangalie wanatupeleka wapi ktk dira ya maendeleo hasa ktk utawala bora na changamoto za kiuchumi.

Hao vijana (Zitto, heche, halima na wengineo) hajawahi kuwa wakuu wa wilaya, mkoa, wakurugenzi wa idara na taasisi, makatibu wa wizara na hata mawaziri halisi.

Hivyo, hawana changamoto ya kweli ya kutoa taarifa za mafanikio ya miradi na sera walizowahi kuanzisha na kusimamia, ni vijana waliotoka chuo kikuu na kupewa fursa ya kuleta changamoto ktk siasa.

Urais sio ofisi ya kila mtu, ni ofisi ya mtu mwenye sifa za kuanzisha na kusimamia na kukamilisha kazi na miradi endelevu inayojulikana.

Mtu asiye ona cheo na madaraka bali fursa ya mgawanyo wa majukumu ktk kuletea matarajio ya watanzania ( hii ni tofauti na ndg kikwete anayejitahidi kuhodhi na kutumia kila madaraka aliyonayo kama kukata kiu)
 
Hawa watu bana yaani lazima waje na siasa zidi ya mbowe na slaa kukipangia chadema wanachama ndo wataamua mbivu na mbichi.

wataamua vipi wakati hakuna vikao huru vya chama viongozi wote wameami Jamii folum kupigana majungu.
Si Nani wala nani tujadili tu humuhumu hivi ndio vikao vya kamati kuu ya chadema.
Mwenyekiti katibu na wajumbe wote wamo humu ama kwa id zao au id feki
 
wataamua vipi wakati hakuna vikao huru vya chama viongozi wote wameami Jamii folum kupigana majungu.
Si Nani wala nani tujadili tu humuhumu hivi ndio vikao vya kamati kuu ya chadema.
Mwenyekiti katibu na wajumbe wote wamo humu ama kwa id zao au id feki

pendekezo kwa Moderator wangeanzisha jukwaa la Chadema. sababu kubwa ni kwamba jf ndo imegeuka makao makuu ya Chadema na viongozi wakuu karibia wote wako humu hivyo itawawezesha kufanya mikutano humu bila bughudha
cc
Freeman A. Mbowe
Dr.W.Slaa
Zitto
John Mnyika
Kitila Mkumbo
Tumaini Makene
Henry Kilewo
Godbless J Lema
Joshua Nassari
Lissu
 
Last edited by a moderator:
Labda tuangalie kwa jicho tofauti, siasa ya Tanzania bado changa na mizizi yake bado ni laini, lakini pia chama tawala hakijaridhia upinzani kuimarika na kushamiri.

Viongozi wa upinzani wanahitaji kuwa makini na imara hata ikibidi kuweka msimamo binafsi mbele.
Vyama vya upinzani na viongozi wake wanafanya kazi kwa nguvu zao binafsi, marafiki na wahisani ruzuku ikichukua sehemu ndogo sana.

Ikumbukwe upinzani unafanya kazi nchi nzima na kujitahidi kumfikia kila mtanzania jamo ambalo hata serikali haiwezi. Tusitafsiri vibaya na kwa haraka maslahi ya viongozi wa upinzani ila tuangalie wanatupeleka wapi ktk dira ya maendeleo hasa ktk utawala bora na changamoto za kiuchumi.

Hao vijana (Zitto, heche, halima na wengineo) hajawahi kuwa wakuu wa wilaya, mkoa, wakurugenzi wa idara na taasisi, makatibu wa wizara na hata mawaziri halisi.

Hivyo, hawana changamoto ya kweli ya kutoa taarifa za mafanikio ya miradi na sera walizowahi kuanzisha na kusimamia, ni vijana waliotoka chuo kikuu na kupewa fursa ya kuleta changamoto ktk siasa.

Urais sio ofisi ya kila mtu, ni ofisi ya mtu mwenye sifa za kuanzisha na kusimamia na kukamilisha kazi na miradi endelevu inayojulikana.

Mtu asiye ona cheo na madaraka bali fursa ya mgawanyo wa majukumu ktk kuletea matarajio ya watanzania ( hii ni tofauti na ndg kikwete anayejitahidi kuhodhi na kutumia kila madaraka aliyonayo kama kukata kiu)
Good and balanced analysis.
 
th
 
Back
Top Bottom