Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Chama cha demokrasia na maendeleo(chadema)kinachoshiriki kugombea nafasi ya kiti cha ubunge iliyochoachwa wazi na rostam azizi wa ccm kitaangushwa vibaya kutokana na kutokuwa na madiwani wa kutosha wakati ccm itatumia madiwani wake 24 ili kushinda katika mchakato huo! Kwa sababu madiwani wa ccm wanakubalika kwa wananchi! je kama wananchi wanamkubali diwani wa ccm ina maana hata mgombea wa ccm ndiye atakayeshinda tena kwa kuraw nyingi