CHADEMA ishakufa kwa sasa

CHADEMA ishakufa kwa sasa

Kitu chochote kikisajiliwa na binadaam kitakufa tu, ipo mifano mingi, uislam haujasajiliwa popote na binadaam
CCM ianze kufa yenyewe kama KANU ya Kenya kwani mshahara wa Dhambi ni mauti, ccm ndiyo itakufa kwa laana ya manyanyaso mateso wanayowatendea chadema
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Pia lema ameshajiondoa yupo zake kanada amechoka na issue za chama-uanaharakati.
 
Chadema hakuna uongozi,Bora wafanye mapinduzi mbowe anaweza kuwasaidia
Mbowe ndiyo mtu wa hovyo kupata kupita chadema amekuwa na Roho mbaya hajawahi kwenda gerezani wala mahakani kumjulia hali Lisu ana chuki mbaya ni shetani anayeidhoofisha kuihujumu chadema kwa kuwauza G55 na chadema wengine kwa ibirisi wa ccm na chauma ubwabwa, Chadema ya sasa ndiyo wapinzani wa kweli, Mbowe alikuwa muingizaji mwizi Dalali wa Siasa, kwa kifupi Mbowe n chawaccm
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Unaota ndoto za kiwendawazimu.
Mlifungia mkijidanganya hivyo? Mchakato wa mgommbea wenu ni batili na lazima urudiwe.machawa tafuteni kazi nyingine
 
Hoja yako umeiwakilisha kwa murtadha wa kudhani,dhana ni mbaya sana unaweza kudhani imekufa kumbe ipo hai.
 
Pia lema ameshajiondoa yupo zake kanada amechoka na issue za chama-uanaharakati.
Acha bangi zako mngekuwa hamuwaogopi chadema msingekuwa kutwa kuwawekea vikwazo mizengwe na vitendo haramu vya kishetani, ache wafanye siasa uone kama ccm itapona
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Shida ni CHADEMA au ni WANANCHI??

Maana hata kama ukiuwa wanachama wote, hao wanaokupinga watakuwepo tu.

Tena watu watakupinga wakiwa huko huko CCM na wewe
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Lissu,Heche na aikili za kina Lema yamesababisha haya yote.Nashindwa kuelewa kwa nini wanachama hadi muda huu hawajaandamana katika jambo la msingi kuuondoa uongozi uliopo madarakani.
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Umeamua kujipa moyo baada ya mama kukimbia mkutano? Fimbo mnayotumia kuiua chadema imeanza kuwashughulikia wenyewe
 
CHADEMA HAIWEZI KUFA IMEVUKA LEVEL HIYO NI PEOPLES PARTY. ACHIA HATA LEO LISSU NA MAHAKAMA ZIFUTE MAKESI YOTE WAINGIE MITAANI UONE. ALISHINDWA JPM MWINGINE HAWEZI. NI KUJIFURABISHA TU
 
Yana MWISHO jifunzeni kwa polepole ALIKUA kama nyinyi sahiv anawindwa na alio kua anawatuma
 
Kwa hiyo umekuja kujadili kitu ambacho kimekufa kwa maana hiyo hakipo lakini unakifungulia Uzi unakijadili? Ngozi nyeusi kweli tuko kwenye hatua za kua binadamu kamili
 
Sawa mkuu..kifo cha CDM furaha ya ccm shangilieni...
 
Back
Top Bottom