MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 4,479
- 6,532
Kuna mtu alisema kabla ya 2020 Chadema itakua imekufa akatangulia yeye baada ya 2020. Kuna watu walimdhihaki Lowasa kabla ya uchaguzi 2015 wakaondoka wao. Tuendelee kusubiri.Nadhani chadema ishakufa kisiasa
1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
