Nadhani chadema ishakufa kisiasa
1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu