CHADEMA ishakufa kwa sasa

CHADEMA ishakufa kwa sasa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Hiyo ni wish yenu lakini kawaulize mabessa wako watakueleza


No reform No Election
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Chadema hakuna uongozi,Bora wafanye mapinduzi mbowe anaweza kuwasaidia
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Kama vile ambavyo Uislam hauwezi kufa na Chadema pia haiwezi kufa. Chadema siyo majengo , bendera wala cheti toka kwa msajili bali Chadema ni imani.
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Jibu hoja za pole pole na kuna G200+ watawafurahisha soon achana na Chadema hawashiriki Uchaguzi.
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Hilo limeshindikana muda mrefu, kwa sasa ni hujuma tu. Uzuri wafuasi wa cdm wanajitambua. Hata zifanyike hujuma za kiasi gani hawapotei.
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu

Sawa. Sasa rudi Lumumba ukawaulize kwa nini bado wanapata homa......!!?
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
Ila ccm nayoimesha zikwa
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
ibirisi wa ccm kwa Akili zao za kishetani mnadhani Chadema itakufa kwa uonevu wa ibirisi wa ccm, chadema ipo moyoni mwa watu, na Dua zao kulaani manyanyaso ya ibirisi wa ccm ndiyo limewaganda ccm wanatifuana kuanza kuhoji kila kitu ikiwemo Utaratibu wa kuteua jina la mgombea Urais
 
Nadhani chadema ishakufa kisiasa

1. Kazuiliwa kufanya mikutano, mihadhara na hata mahojiano ya chombo chochote cha habari hapa nchini
2. Kutotambulika kwa uongozi na msajili
3. Kufungiwa account zake za kifedha
4. Kuzuiliwa kwa mwanachama wowote wa chadema kukutana.
Kilichobaki nini? Kimeshakufa zamani tu
unaweza kukiua kilichomo mioyoni mwa watu?

jidanganyeni. Mwaka huu mtapatwa na ambalo hamjawahi kupatwa!!!
 
Uonevu manyanyaso kuwateka kuwaua kuwabambikia kesi chadema hakutaimaliza chadema zaidi ya kuwapa nguvu zaidi kwani wapenda haki ni wengi na wamechoka na vitendo hatamu toka kwa ibirisi wa ccm
 
Mbowe anaombea Lisu afie jela ili arejee Chadema kwa njia haramu za kishetani kama Lipumba na sasa ni Dalali wa siasa kutoa watu chadema kuwauzia CCM na chauma ubwabwa, Mbowe kwa sasa ni Sumu ya kuua chadema pengine kuliko hata ibirisi wa CCM
 
Back
Top Bottom